Hakuna kitu kimoja kinachoitwa waislamu,labda kama wanataka kujua idadi ya
1. madhehebu ya shia
a)hapa kuna karibu madhehebu madogo madogo zaidi ya kumi
2. Suni
3. Ismailia
4. Sufi
5 Salafi.
6. kurdishi
6. n.k
sasa wasitudanganye wanataka kujua kuna waislamu wangapi, hakuna kitu kimoja...
hawa wazenji waachiwe nchi yao kama wanaona dili,kwa jinsi kasi ya mawasiliano inavyokwenda, siku hizi badala ya kusema unaishi Tanzania, tutakuwa tunasema naishi Duniani,unatakiwa uwe fit kukabiliana na yeyote kutoka nchi yeyote,tuache uwoga,tusome na kujielimisha kwa bidii zote.
jAMANI SISI WENGINE TUPO NJE YA NCHI TUNAFURAHI SANA KUSIKIA HAYO MATOKEO, mWENYEKITI ALIKUWA SAHIHI KUSEM TULINDE MATOKEO KWA NGUVU ZOTE, HONGERA CDM, NA WADAU KWA KUTUHABARISHA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.