Father z the head of da family' masuala ya kuchezacheza na mtoto mpaka mkeo anakosa hata mda wa kujadl maswala ya family usiku' z not gud' KINACHOTAKIWA HAPO NDUNGU MTOTO APEWE AMRI YA KULALA MDA WA KULALA UNAPOFIKA KAMA ITASHINDIKA KWA KUTUMIA SYCHOLOGIA KWA KUMWAMBIA....'mwanangu mtoto...
Sa wakibana miguu c watashidwa kutembea. Acha watanue wapate hewa! My friend al of them thr born 2 separate thr legs. Wameumbwa kutanua ndungu yangu wakibana tutaumia rafiki!
Halloww wana Jf...! Jamani nina demu wangu anakaa SUMBAWANGA mi nikaa ARUSHA. Mahusiano yetu yameaanzia skul. Tulikuwa tunapendana sana tumemaliza skuli KAPANDA GARI kwenda swax na mimi nikapanda kwenda A-town. UWEZEKANO WA KUONANA NI MDOGO SANA. kutokana na umbali! Na na kumbuka maneno yake ya...
Ni kigezo kipi ulichoktumia mpaka kutuomba ushauli kuwa waziri anakutaka? Mbona aliye kubikiri hukumleta hapa tumjadiri! Na ni wa2 wangi wamekuta wewe ? Au akiri yako finyu imeona neno 'WAZIRI' ndo zuri sana kuliombea ushauri kuliko hao wote walio 'KUPITIA' we chenga tu'
'Aaaagh! huyu bonge la ****! Hv alifikir kuwa hao wanawake wanataka hiyo nanii yake! hv kweli kwa akiri yake timamu hajajua kuwa hao wanawake walikuwa wanataka pesa yake! Yaani mpaka leo hajajua kuwa hzo nanii zinauzwa hadi madukani mwanamke gan mjinga agombanie rungu nahuku zi mejaa tele Tz...
Mapenzi ya kwel hayana dini wewe, jifkrie vzur kumpata akupendaye! Na hakika kuhangaika kwako mpaka kufkia hatua hyo n kwa sababu hyo hyo ya dini! Pole sana dada kwa kigezo hicho umekwama!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.