Search results

  1. L

    Mlioomba Lugalo Millitary Medical School majibu yanatoka lini?

    Wakuu VIP kuhusu udhamini taratibu. zake sijaziona. msaada jamani wakuu.
  2. L

    Udhamini wa masomo Wizara ya Afya

    Nimepangiwa K'S Royal college of medicine kipo mbeya. Kwamujibu wa cas kuwa kuna utaratibu wa kuomba udhamini kutoka Global fund na nk ,sasa me sielewi nianzie WAP? msaada waku.
  3. L

    Central Admission System(CAS)

    Ahsante, mkuu ngoja nijaribu.
  4. L

    Central Admission System(CAS)

    Msaada:Naomba kufahamishwa kuhusu (Orodha ya wilaya zenye nafasi za ajira)ili nijaze fomu kama maelezo ya kuomba nafasi za masomo wizara ya afya yanavyo elekeza kuhusu udhamini.
  5. L

    Gharama za kutoa gari bandarini

    sory kwa kudandia ndege kwa mbele! Vp? kuhusu malori kama fuso au canter inakuaje hapo mkuu.
  6. L

    Tatizo ni nini? whtsup au Tecno S3!

    data connection voda,bundle au credit zinakuwemo! whatsup app nilidownload na nikainstall ktk cm.memory space ipo yakutosha.
  7. L

    Tatizo ni nini? whtsup au Tecno S3!

    Ndugu zangu wapendwa habari zenu: Nimetumiwa picha whatsup ninapo jaribu kuifungua naambiwa(The download was unable to complete.please try again later) naombeni msaada nifanyeje ili nizione ahsanten waungwana.
  8. L

    SIEMENS AG-SIMATIC Field PG M2 haina drivers

    Big up kwa ushauri wako mkuu, ahsante.
  9. L

    SIEMENS AG-SIMATIC Field PG M2 haina drivers

    Natumia Window XP service park3 Mkuu.
  10. L

    SIEMENS AG-SIMATIC Field PG M2 haina drivers

    WAKUU aslamalaykum, Bwana Yesu asifiwe?.Wakuu nina laptop aina ya SIEMENS AG,Model-SIMATIC Field PG M2.Laptop hii inamatatizo ya Drivers sita; 1.Network controller 2.Ethernet controller 3.SM bus controller 4.PCI Device 5.Video controller[VGA compatible] 6.Video controller Naombeni msaada...
  11. L

    Madaktari waliogoma wanahojiwa na East Africa Radio muda huu.

    Kwani huyo zee nani?ZEMBWELA NDO SEHEMU IPI HAPA TANZANIA?.
  12. L

    Madaktari kuuza damu kwa wagonjwa mahututi ni ubinadamu?

    Kwani hayo mazingira mabaya yameonekana siku hizi!.Yasiku hizi ni salama kiasichake kuliko ya miaka ya nyuma.HAPO MKUU MASLAHI KWANZA UBINADAM KAPUNI.
  13. L

    Madaktari kuuza damu kwa wagonjwa mahututi ni ubinadamu?

    Pole sana,naweza kusema wananchi wa Tanzania tumezoea kupelekwa pelekwa katika kila idara.Na laiti sisi wenyewe tungekuwa na ushirikiano nchi nzima kama nchi zingine serikali ingetia adabu.Ok,ndio uzalendo.
Back
Top Bottom