Kama kuna kitu tuko nyuma kama watanzania ni kuhusu Elim ya afya ya jamii. Vitu vidogo mpaka uulize hospitali au kwa mtaalam. Tunatakiwa tuwe na BP machine nyumbani, thermometer, glucometer, chati za BMI nk kama basic home items
Kuna jamaa aliwahi kushauri kuwa kundi hilo ni wale wanaojua WHAT IS LIFE, na wamejifunza kwa namna moja au nyingine na mistake walizofanya. Na kwamba ni wavumilivu na akili pevu, sio umiza kichwa. What do you comment on that.
DO 2de A;
BMI yako iko chini, unapaswa kuongezeka.
-Kutokana na comment yako hapo juu, nachelea kuhisi pengine una tatizo la nyongo. Ndio maana unapata Steatorrhea (una harisha mafuta)
Hebu check rangi ya 'choo' chako. Je ni gray or pale?
Nenda hospital, waweza agizwa kupima vipimo mahsusi...
Ahsante mkuu. So naweza negotiate nao kuhakiki kama gari iliyobandikwa kwenye page ni yenye engine husika! Coz hua naona reply zao ziko more 'automated'
Nataka kununua Mark 2 Grande kutoka Japan. Tatizo nililonalo, sijui nawezaje kuchagua aina ya engine (eg D4, vvti) wakati wa kuagiza esp kupitia befoward ambao niliwahi kuwatumia last time.
Tafadhali msaada wadau, kwani ningependa kulikwepa zimwi linyonya mafuta (D4, kama nisikiavyo kwa wadau)...
Hakuna uongo wowote mkuu. No namna unavyoweza ghamua. Only Story ya kale inaweza athiriwa na:-
1)technology/nyakati. Mfano: Babu zetu walisema mtoto akianza kuota meno, anaharisha. Lakini leo tunajua sababu ya kuhara. Hivyo tumebadilisha statement.
2)Lugha iliyotumika.biblia imeandikwa...
Hoja yako ni tofauti kabisa na Galileo.
Uhakika uliopo ni jua lilisimama juu ya vichwa vya wanadamu.
Whether ni matokeo ya jua kusimama ama dunia kusimama; lazima kimojawapo kilisimama.that's what we're interested of. Explanation zitaendelea kubadilika kutokana na wakati, but TUKIO litabakia...
Serikali 3 haitafutwi kwasababu itakua nafuu kiuchumi, ila kwasababu ni matakwa ya wananchi wanzbr.
Nchi zote zimekua huru kwa lengo tu la kujitawala. Pengine kiuchumi ingefaa zaidi kubak na waingereza/waOman.
serikali 3 ilikua ni busara ya ku_harmonize kundi kubwa la wasiotaka muungano. Haikua...
Wageni wake wa kudumu ni ma lekcha ma_conservative; Sabato na Bashiru. Wazee wa Africanism. Wakiwa studio ni porojo za kudanganyana; bila kuongelea soln za modern Africa.
tragedy of the commons
Namaanisha wewe mtz mwenzangu.
Nchi zote duniani wanasiasa husoma upepo wa wananchi kabla ya kutoa misimamo.
Ukiona CCM yenye wanachama chini ya mil. 5 inaweka misimamo kinyume na matakwa ya wananchi; bila hofu ya kukosa dola; ujue udhaifu ni wetu kama raia. Itishishe nini wakati ndani ya...
Hizo ni genes 2 tu!
Lakini more than 90% ya cell components za mtoto zinatoka kwenye cell ya mama.
Binafsi naamini mama mzuri ni mambo yote.
tragedy of the commons
Nimemsikiliza Samia Suluhu kwenye kile kipindi biased cha channel 10 kiitwacho Je tutafika?.
Anasema baadae tukae chini kujadili mapungufu yaliyosabibishwa na katiba ya Znz.
Bila shaka anaelewa katiba ya JMT inasema sheria yeyote iwayo kinyume na katiba ya JMT ni batili. Je mambo haya ni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.