Umeandika facts kabisaa,,, tatizo la hii nchi walioko kwenye maamuz akili zilishaganda kwa utamu wa asali na wenye akili timamu hawaruhusiwi kabisaa kupewa mamlaka,,, hii kauli ya sukari ya nje hairuhusiwi kuagizwa kwa soko huru ina ukakasi sana probably inanufaisha sana wachache!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.