Nikweli amepata jibu
je hizi ndio siasa tunazozitaka kiongozi?
Kuna maisha zaidi ya hizi siasa
JE na chadema nao waamue sasa kwenye zile stronghold zao, kama Arusha, Dar, Mbeya, Iringa, nao waruhusu watu wao kushambulia mikutano ya CCM tutafika??
Kwani ni lazima watu waende kwenye mikutano...
Vipi mkuu mwenyekiti wetu wa chama anaendeleaje, siku hizi kampeni zetu ni za mjini tu. Afya yake kama gari la mkaa trip 1 shamba, siku 7 gereji, Mwambie atubu. Tunasubiri kishika uchumba cha bariki, malelezo ya 1.5 Trillioni, Noah zetu, na milioni 50 Kila kijiji. HATUJASAHAU.
MSALITI NI YULE SIKU ANAAPISHWA, ALIDAI KUILINDA KATIBA YETU, AMBAYO INAZUIA AINA YOYOTE YA UBAGUZI, LEO ANASEMA WATU WA CHAMA FULANI MSINILETEE, MARA MMEKOSA MANEDELEO KWA SABABU HAMKUNIPA CONNECTION. VIPI MKUU MBONA KAMPENI ZA MWAKA HUU MPO KWA MJINI TU?, MWENDE VIJIJINI KULE MKAWAELEZE...
Kiongozi yoyote yule ambaye anatubagua kwa namna yoyote ile, na ambaye hafuati katiba yetu, hatufai, TUMKATE, Maana hana tofauti na kaburu, ni kaburu tu.
Chama kimegawanyika vipande vipande kwa sababu ya watu hawa wawili
Hawakuwahi kuwa wana CCM kabisa, wamekuja wameleta aidia za kizamani kabisa wakidhani Watanzania wako stone age.
Hawa wapo chamani kwa maslahi yao tu ya kupata pesa, wala si kufanya chama kisonge mbele hata kidogo
Wale CCM...
Salaam
Utafiti wangu mdogo unanionyesha kwamba CCM itashinda kwa kishindo sana kwenye uchaguzi huu, na kupata kura nyingi sana kutoka kwa makundi haya
1. Wale waathirika wa bomoa bomoa kimara (Zaidi ya familia 350 ziliathirika) na maeneo mengine ambao kesi zao bado zilikuwa mahakamani...
KUNA UZI HUU SIJUI UNAUKWELI, ETI NAPE KAKAMATWA NA WATU WA MIKONO SALAMA,
https://www.jamiiforums.com/threads/brkng-news-nape-yupo-mikono-salama.1222481/#post-20301555
IMBOMBO NGAFU MWANAFYALE.....HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAA
Madame Hujakomaa tu kushabikia hawa mtu na mwanawe..Ehh Una moyo wa chuma. Pole sana,lakini vipi yule binti yetu alipataga mkopo-chuo maana nakumbuka kipindi kile ulilalamika sana........[QUOTE="Mamndenyi, post: 20301236, member: 41512"]Mwana ccm kindakindaki,
MNAO SUBIRI MAENDELEO YA VIWANDA CHINI YA UTAWALA HUU, MNAKAZI KUBWA NI SAWA NA KUMUELEWESHA CHIZI
SISIEMU,. HOYEEEEEEEEEEEE, KAMA NAWAONA VILE......
2020, BASHITE ATAKUWA MSTARI WA MBELE KUHAKIKISHA DAR-ES-SALAAM INARUDI SISIEMU IWE KWA HAKI AU KWA HILA, TAYARI AMEENZA KUWEKWA KARIBU NA...
KINACHOONEKANA KATIKA HAYA YANAYOTOKEA NI ONYO KWA WAZIRI YEYOTE KUMKOSOA BABA BASHITE
MAWAZIRI POLE ZENU, MSAHAU KABISA KUFANYA KAZI KWA WELEDI... NA MKICHEZA MTATUMBULIWA WOOTE
KWA SASA, BASHITE ANARUHUSIWA KUMFANYA MTU YEYOTE JAMBO LOLOTE...BILA SHAKA ANAWEZA KUKILL ANY BODY AT ANY TIME...
HAISHANGAZI MAAMUZI KAMA HAYA KUFANYWA NA KIONGOZI ANAYEJIONA YUKO SAHIHI KWA KILA JAMBO, KIONGOZI HUYU ANAPENDA WATU WANAFIKI, WAKUJIPENDEKEZA, WASIOPENDA KUSEMA UKWELI. NI MTU ALIYEJAA CHUKI NA VISASI. VIWANDA TUTAVISKIA TU HEWANI KAMA UDAKU MWINGINE.
PROF KABUDI, NA AKILI ZAKE, NA PRINCIPAL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.