hilo swali hukustahili kulilta humu kwani linahitaji akili kidogo sana. wewe umeoa, that means wewe na mke ni kitu kimoja. but suala la kwenda nymbani kwenu lisiwe kisingizio cha kila siku ukitoka kazini.
kama kuna ulazima wa kupita nyumbani then unaweza kwenda bila wasiwasi ila ni vyema...
mkataba wa ajira ni haki yako. unahaki kupewa nakala baada ya kusaini mkataba wewe na mwajiri wako, na ikitokea hajakupatia pia unahaki kudai kopi for your reference purposes na pia kama itatokea mtafaruku wowote kati yenu uwe na written document zinazoonesha makubaliano yenu pamoja haki zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.