Mh.Dhaifu anapenda kwenda Marekani akanywe chai na Obama na kupiga picha pia kuna taarifa huyu jamaa anataka kuweka rekodi kuwa Raisi aliyetembelea nchi nyingi zaidi kuliko Marais wengine hapa Afrika
Galanos hotel-nguvumali,ndani kuna hoteli ndogondogo nne
Mkonge
Pamba
Chai
Kahawa
meneja ni Ndg.Msocha anatoa huduma bora sana wakishirikiana na Mac Master Luzilo
Wabariki viongozi wake(mafisadi)hekima umoja na amani
hizi ni ngao zetu.....na mafisadi kweli watabarikiwa kama tunavyoomba kwenye wimbo wa taifa.WIZARA INATANGAZA NGONO!NI BORA TUFANYE MNADA WA WAZI KUIUZA NCHI KILA MTU APEWE CHAKE.CENINA KOMBANI UMELIABISHA TAIFA
Na hiyo taarifa ni KWA HISANI YA WATU WAMAREKANI?hamuoni aibu kumtangaza Vasco Da Gama na safari zake na ni ubadhirifu wa fedha au Kujua hilo NAKO KUNAHITAJI WAWEKEZAJI TOKA NJE?KIKWETE hajui kutoa vipaumbele angalia kati ya yanayoendelea bungeni na kuhudhuria mazishi nje ya nchi wakati ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.