Ndugu yangu hawa vijana wa mkoa huu na VIMORO HASA WALIOKO PEMBENI MWA HIFADHI NI VIGUMU SANA KUSAHAU HICHO " IBING'ARA, ANYAMA ORI " Ha ha ha ha ha ha very great power is needed to change them ila tutie nguvu ili tuwatoe kwenye fikra hzo maana ni watanzania wenzetu.
Mm nimekulia huko na...
Mkuu kwa jinsi watu wa wilaya ya serengeti na tarime walivyo wachapa kazi wakiamka kielimu naamin watafika mbali sana japo kuna vikwazo vya kimfumo kama vile makao makuu makuu ya hifdhi kuwekwa Arusha bila sababu za msingi.Tuweke mkakati wa pamoja ili vijna wasomi + wengine wa maeneo hayo...
Binafsi origin yng sio mkoa wa mara ila nimeishi hko kwa muda mrefu sana na hasa wilaya ya serenget.Ukweli ni kwmba raia wa hko ni wachapa kazi sana hasa kilimo na ufugaji,nani asiyejua kuwa mkoa mzima na hta kanda ya ziwa wanategemea sana zao la mahindi,ulezi,mtama na mihogo kutoka wilaya ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.