Inafikirisha sana kusikia kila leo kumetokea ajali na vifo vya abiria vikiwa vingi sana hadi unajiuliza, je serikali inashirikiana na madereza pamoja na wamiliki wa mabasi kutengeneza ajali?
Je, mabasi haya kabla ya kusafiri/kuanza safari zinakaguliwa na chombo gani na kuruhusu waendelee na...
Habari za majukumu ndugu wanajamiiforums,
Naomba kuuliza kwa mwenye ufahamu kuhusu utofauti wa IB na IGCSEs na GCSEs zinazotolewa na Shule zinafundisha mitaala za kimataifa hapa nchini.
Na kipi ni kizuri zaidi kwani nataka nimpeleke mtoto kwenye hizo.
Mfano.
Nimena Iringa International...
Kama unaweza kupata gazeti ya Daily News ya tarehe 2 kuna nafasi nyingi za kazi zilizotangazwa na TBS. Nilijaribu kuzipiga picha ; unaweza kupitia ili uone nafasi unayofit.
Habari za mapumzuko wanajua wa jf?
Naombeni mwenye taarifa kuhusu masters of Business Administration au project management zinazotolewa na Chuo kikuu Huria Tanzania kua zinaanza mwezi wa ngapi?
Nimejitahidi kuangalia kwenye website zao bila mafanikio, kwasasa nipo mbali na kutuo chao chochote...
Nimesikia tetesi kua usahili itafanyika jumanne ya tarehee 11/05/2017 makao makuu ya EWURA kuhusu post zilizotangazwa na deadline ilikua novemba 2016.
Je kuna mdau humu alieitwa?
Habari za majukumu wanaJF?
Kuna mji mdogo unaokua kwa kasi sana mkoani Geita inayoitwa Katoro. Kwa wale wageni...Ukitoka Geita mjini kuelekea njia ya kwenda Chato au Bukoba unapita Katoro kabla ya njia panda ya Chato na Kahama.
Naomba kutoa wito kwa mamlaka ya mji Mdogo wa Katoro kwanini...
TRAINING OFFICER -ARUSHA
Qualifications: Holder of Bachelor’s degree in Education,Occupational
safety and Health or its equivalent from a recognized institution,three
years experience in OHS training or related field
Apply: Chief Executive
Occupational Safety and Health Authority (OSHA)
Box 519...
1. PILOTS- DAR ES SALAAM AIR TANZANIA
Air Tanzania is looking at recruiting pilots for ab-initio training,
where possible sound graduates with the appropriate flying aptitude will
be sponsored for pilot training up to commercial pilot license level..
Air Tanzania will start by offering crew...
Ni nani kati ya MESSI na CR7 atakua wa kwanza kufikisha magoli 100 UEFA Champion league? je kwa mwinendo huu atakua Messi au CR7? Je wewe unaonaje?
Karibuni sana.
IDADI YA MAGOLI ADI LEO 24/11/2016. MESSI (95), CR7 (98)
1. Power Sector Program Leads - Electric Utility Reform and Restructuring
2.Power Sector Program Leads - Demand-side Management and Energy Efficiency
3. Power Sector Program Leads - Power Systems Planning & Monitoring
4. Power Sector Program Leads - Private Sector Participation & Electricity...
Napenda kujua ni kwa namna gani wajerumani walitumia kuyapa majina haya maeneo ya Tanganyika enzi za ukoloni majina ya kijerumani?
German placenames
Most place names in German East Africa continued to bear German spellings of the local names, such as Udjidji for Ujiji and Kilima-Ndscharo or...
Medical Record Technician II – Muhimbili University of Health and Allied Sciences
Health Attendant II – Muhimbili University of Health and Allied Sciences
Accountant II – Muhimbili University of Health and Allied Sciences
Driver II – Muhimbili University of Health and Allied Sciences
Director of...
Natumaini mmeamka salama wanandugu.
Rais wangu mie pia nakuomba uweze kusikia kilio chetu sisi watumishi wa umma na sekta binafsi.
Mishahara ya watumishi wako ni mdogo sana ukilinganisha hali halisi ya maisha kwa sasa, bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 unaonesha amna ongezeko la mshahara...
Habari za asubuhi wadau?
Kwa wale walioko jikoni uko SUMATRA, kimya kimezidi kuhusu kiuta watu kwenye usaili wa mahojiano baada ya ile ya kuandika. Au ile zuio la Serikali imepiga hodi kote uko?
Mwenye kujua naomba anijuze kinachoendelea uko SUMATRA.
Kwa wale waliomba kazi SUMATRA walianza kupiga simu Ijumaa kwahiyo usikae mbali na simu usaili inaanza 10/06/2016, nafasi zilitangazwa mwaka Jana mwishoni.
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linapenda kuwatangazia waombaji wa nafasi za kazi zilizotangazwa tarehe 23.12.2015 kuwa usaili wa kuandika (Aptitude test) utafanyika tarehe 06.06.2016 hadi 07.06.2016. Usaili utafanyika katika ukumbi wa University of Dar-es-Salaam, Business School; muda ni kama...
JOB OPPORTUNITY AT ITU HEADQUARTERS-GENEVA
The Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation has received vacancy announcement from the International Telecommunication Union (ITU) inviting qualified Tanzanians to apply for the post of Web Developer.
Application details can be found on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.