Hakuna nchi nyingine zilizojiunga na NATO zinazopakana na Russia? Kwa namna gani Russia haikufanya jitihada ya kuzithibiti kabla ila inataka kuithibiti Ukraine ambae hajonesha ata dalili ya kuomba uanachama?
Wewe kwako unaona kuna logic?
Utaratibu!!!imeandikwa sehemu? Kama mi utaratibu kwanini inatumika nguvu kubwa sana kuwaambia watu wa ccm kuwa watachapisha fomu 1? Acha kutetea ujinga.
Ukishakuwa na nchi ambazo wananchi wake waliopewa dhamana ya kuwatumikia wananchi wake kama viongozi ila wanakuwa na utajiri mfukoni na kuwaacha wananchi wenyewe masikini wa kutupwa.
Utashangaa mama Samia ni tajiri kuliko ndugu Biden, inasikitisha sana.
Kulala kwenye ndege ni adhabu kubwa sana kwenye vitu vya economy...nilisumbuka sana wakati tunatoka Guangzhou to Dar.
Kama wameviondoa kama ukivyosema basi kuna shida kubwa sana.
Wachukue kiatu cha mfungaji bora wampatie tu Palmer,
Nimekumbuka msimu mmoja hivi, mechi ya mwisho ndiyo ilikuwa inaamua bingwa wa Ligi kuu kati ya Chelsea na Man Utd.
Chelsea walikuwa na mechi na Wigan...ushindi wowote Chelsea bingwa, penalty ikapatikana then Drogba akaenda akachukua mpira ili...
Nakuunga mkono mtoa mada kwenye baadhi ya pointi, ila umetudhalilisha sana sisi matajiri kuwa hatupendi ngono.
Hivi wale wasanii na wadada wanaojiita classic wanaliwa na masikini?
Mkuu wakati mwingine iteendeni jukwaa hili haki, kwa jinsi ulivyoandika hiyo USD 1.3Bilion iliyotumika inapatikana vipi? Ukiamua kuleta taarifa jaribu kuwa mkweli ili wengine waweze kuokoteza chochote.
Kwahiyo Makonda akisema kuwa Mh. RAIS, kuna mawaziri wamepanga kukuwekea sumu kwenye Chakula...kauli kama hiyo kikijadiliwa watu watakuwa wanajadili Makonda na siyo madhara ya kauli yake?
Mtu mzima kabisa unakenua meno kufurahia maneno ya Mh. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, unafikirisha sana mawazo yako.
Akili za Mtanzania inashangaza sana, utakuja kugombana na upepo, sasa tume huru ya uchaguzi ipo kwa faida ya wananchi na watanzania wote au kwa wapinzani pekee?
Mwarobaini ya kukwepa kodi ni kuondoa mfumo wa malipo ya cash kwenye manunuzi, iwekwe kiwango kabisa ya pesa kulipwa cash iwe 30,000 tofauti na hapo malipo yafanyike kwa njia ya digital ili kodi ya serikali inakatwa aotomatikali.
Serikali dhaifu kazi kulialia wakati wamepewa mamlaka yote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.