ZITO ZUBERI KABWE kwangu mimi ni mwanasiasa Mwenye akili nyingi zilizo kosa uzalendo na badala yake zikajawa na tamaa na upotoshaji.
Nimekua nikifuatilia siasa za Zitto toka akiwa CHADEMA mpaka sasa ..leo hii nitatoa UTABIRI WANGU wa KIMAWAZO juu ya alichokipanga kukifanya katika siasa za mwaka...
LENGO NI KUELEWESHANA NA KUONDOA UTATA SIO KUBISHANA NA KUTUKANANA
Kwa uelewa wangu Wa sheria za makampuni..kwa swala hili la madini Tanzania ..mmiliki Wa kampuni wa usoni ni ACACIA..lakini mmiliki wa kweli Wa kampuni hii ni BARICK na hata kama swala lingeenda mahakamani mahakama ingelitambua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.