Mengi yanazungumzwa.. G nako nae katoa ya moyoni.
Mwisho wa siku muziki wetu lazima ukue atuwezi baki palepale kila siku eti sababu tukisonga mbele kuna watu watachukia.
Ommy hawezi kuwa ni innocent ila ametumia gap alilotengeneza Diamond kummaliza Dai. Sababu ukisikiliza malalamiko ya Ommy utaona kuna maswali mengi kuliko majibu... Mfano anasema alikuwa anamkimbia akitaka kwenda nae nje ya nchi... Lakini Nakumbuka video ya Ndagushima walienda kufanya wote...
Diamond ndio nembo ya bongo fleva kwa sasa anatakiwa aelewe nafasi yake awa watoto wanaotaka mbeleko awaachie wadogo zake kama Kiba anavyomtumia Dimpoz
Kwanza nianze kwa kuweka wazi mimi ni die hard fan wa Diamond kutoka siku ya kwanza na Kamwambie yake. Tumekuwa tukitoa sapoti kwa kila hali kwa Diamond ambaye ni msanii wa mfano kwa taifa letu.
Ila kinachoendelea sasa mitandaoni kwa kweli sidhani kama kuna shabiki wa Diamond anakifurahia...
Usuluishi upi huo kamanda? Madai yenu si kuhusu udikteta, je udikteta umekwisha baada ya lowassa kwenda huko?.. Poleni sana makamanda, mtakoma kumjua Mbowe na Lowassa. Huu ni mwanzo tu.
Chadema wameturudisha hatua 70 nyuma kwenye harakati. Awa matapeli sijui ata wanapata wapi nguvu ya kumnyooshea kidole Magufuli. Kweli kuna wanadamu awana aibu kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.