wiki moja iliyo..
pita kulikuwa na habari za kulazwa hospitali huko ujerumani kwa mtajwa hapo juu. tunaomba mnaojua habari zake mtuhabarishe maendeleo yake ya afya. mjuavyo maisha ya kiongozi ni kama kioo hivyo lowasa ni kioo pia
Yatima hadhulumiwi kwa kuwa alipatikana kwa rushwa? Na hao waliokosa hiyo nafasi kwa ajili ya chapaa chafu ya lowasa hawkudhulumiwa? Acheni ujinga, huyu mtu kapatikana kwa rushwa inabidi akae kule bungeni kama ndondocha aliyempeleka huko kwa chapaa ya ajabu
nimesoma kwa tahadhari taarifa ya Mama Makinda kuhusu kutogombea tena ubunge huko kwake njombe, lakini hakuna mahali popote pale aliposema ataachana na siasa. wengi mwameanza kumpa hongera, lakini ukweli ni kuwa hatagombea tena ubunge wenye maslahi duni bali USPIKA
katiba ya nchi yetu inatamka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.