Jeshi la Misri limetoa saa 48 kwa wanasiasa wa nchi hiyo kumaliza mzozo wa kisiasa la sivyo Jeshi litaingilia kati. Mkuu wa Majeshi, Gen. Abdel Fatah, amesema kuwa maandamano makubwa yanaashiria matakwa yasiyo kifani ya raia. SOURCE: BBC &DW
Kampeni za Uchaguzi wa Rais, na Makamu wa Rais wa Serikali ya Wanafunzi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, zimeanza.
*Wagombea Urais ni watatu katika kinyang'anyiro hiki. Bw Egidy Mkolwe ambaye ni mmoja wa wagombea, anatarajiwa kuzindua kampeni zake katika ukumbi wa Yombo 4, hapa UDSM...
Mimi Mkibosho exceptional aisee
Mkuu siyo kwamba tu nina kisu, ila pia nina screw drive, na vyote hivi ni kwa matumizi yangu ya kawaida, na sitarajii kumchoma mtu awaye yote
Mkuu mimi napenda amani. Na ubabe wangu wa Kibosho sipendi kuutumia sana; huwa nautumia mara chache bz napenda kufurahi na watu wote
mpaka sasa nimeishi na makabila 60+, toka nilipokuwa advance Mwakaleli, Mbeya, na hapa chuo. But hawa jamaa ni unique
*Wana-JF, MMU, mimi ni Mchagga, na nipo chuo fulani hapa Tanzania.
*Ninaishi room na Wahaya wawili.
*Tatizo ni kwamba najikuta ninagombana nao mara kwa mara kwa sababu naona kama wana dharau hivi, wana kejeli, maneno mengi, na nikiongea kitu ni kama wanachukulia as if nimeongea pointless...
*Kwa sasa wanafunzi wengi wanapata tabu ya usafiri wa kutoka Mabibo Hostel kwenda DUCE, Mwalimu J.K. Nyerere Campus[zamani Mlimani Campus], na SJMC.
*Wale wanaotokea Mabibo kwenda J.K.Nyerere Campus, wengi wao wamelazimika kutembea kuepuka gharama kubwa ya kupanda gari mbili, yaani kutoka...
Habari kutoka SAUT, Mwanza, ni kwamba mgombea urais wa SAUT[CHADEMA] Bw. Mcheshi amepata ushindi wa kishindo na amemgaragaza vibaya mgombea wa C.C.M. Bw Peter
*Itakumbukwa kuwa jana, C.C.M. waliripotiwa kumwaga kiasi cha shs mil 8 kuwarubuni wapiga kura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.