yamkini hakuwa ametoka kwa mwana mke na kwa kuwa hukumkuta kwenye kitendo vumilia. endelea kumpa mapenzi ya kweli. La msingi zaidi jitaidi kumshawishi afanye mapenzi nawe mara nyingi zaidi ili akienda nje awe amechoka. jiongeze ili akitoka nje awe amechoka
Kwani uke uluotoa mimba na amboa haujatoa unatofauti.? we mzalishe watoto unaotaka kwanza. Kumwacha ni hasara nyingine. Ukishamaliza kuzalisha watoto wanaokutosha. Anza kufuatilia. Hata ikitokea mmeachana hutapata hasara kwani ushakuwa na watoto wakutosha. Ukimwacha gafla garama yakuoa ni kubwa...
Kiukweli angekuwa msafi msingepoteza muda kumtetea anafaa .acheni matendo yake yamhukumu kwa wananchi. Tusiendelee kuwapoteza watanzania. Huyu Lowasa hafai hata kuwa mlinzi Ikulu. Na wote wanaomuunga mkono wana maslai binafsi na hawawatakii mema raia wa TZ. Atuambie kwanini anatumia hela nyingi...
watanzania tutakuwa wanafiki na wPumbavu san kama tutamchagua Manywele kuwa raisi. Miaka michache tumemtoa kwa kigezo fisadi kiwembe aliyeshindikana .sasaawe lulu aje awe kiongozi weru. ? Hakika tutakuwa wote mafisadi
Ila katikahili kama wa Yanzania hatuwatoa hawa CCM BASI. Wengi wetu ni wapumbavu kabisa. Na tuwndelee kuteseka. Sisi waj9nga sana .tuamke pumbavu zetu.
Wakuu mbona pesa zilizoibwa ni nyingi .321 alafu majina na kiasi kilichogawiaa ni kidogo.? Pesa nyingine akina nani wame chukua. Maenye majina atupe tafadhali
Poleni na kazi wana jf. Naombeni mnisaidie, mke wangu kajifungua mtoto yapata miezi mminne iliyopita. Ila baada yakujifungua mtoto alikuwa analia sana hivyo mama yake alikuwa anakesha mda mwingi akimbembeleza, sasa anatatizo lakuumwa na mgongo sana . Analalamika maumivu makali ya mgongo wakati...
pole kuna shida nyingi, ila sijui tiba lakufanya kama upo MOSHI au ARUSHA naweza kukuelekeza kwa dokta mmoja anakifaa naamini ataweza kukusaidia. jaribu ushauri uliopewa ukishindwa nitumie ujumbe nitakuunganisha nae.
tatizo sio UISLAM JAMANI , TATIZO NI ELIMU, HAWA NDUGU ZETU MSIWACHUKIE TUWAELIMISHE TARATIBU, WALIDANGANYWA ETI UKICHOMA QURAN UTAKUWA SIJUI KICHAA MARA MMBWA NA WENGINE NGURUWE, ILA HADI SASA HAWAJAAMINI WALIDANGANYWA. AKILI ZA WANAOCHOMA MAKANISA NA KULETA FUJO AKILI ZAO NI AWA NA WENZAO...
Mambo vipi wadau.
Kwenye biblia, mithali 4.13 inasema ishike sana elimu.... Nashangaa watu wanaosema tanzania inaongozwa kwa mfumo kristo. Bila sahaka watu hawa walipata ziro au hawakupata fursa ya elimu kabisa. Tunajua raisi, makumu wa raisi bara na visiwani jaji mkuu, nkurugenzi usalama na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.