leo nimesikia rais wa Kongo L Kabila kamteua PADRI Aporinel Maruru kuwa mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi.Naungana na Prof mwenyekiti wa tume si lazima awe mwanasheria bali mwenye utashi na weledi ila wasaidizi wake muhimu kuwa wanasheria
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI: 09/06/2013 MAONI YA AWALI YA MWENYEKITI WA CUF KUHUSU RASIMU YA KATIBA MPYA UTANGULIZI; Kwanza naipongeza Tume ya Jaji Warioba kwa kazi kubwa waliofanya ya kuratibu maoni na kuja na mapendekezo ya katiba mpya ambayo hayakushinikizwa na matakwa ya Chama tawala...
Wawekezaji toka China watumie wafanyakazi wa Tanzania na siyo kuleta wafanyakazi toka China kwa shughuli zinazowezwa kufanywa na Watanzania.
Serikali iwe makini na kuhakikisha hatuleti Wawekezaji matapeli kama muwekezaji wa Ujenzi wa Terminal ya Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam. Ulinzi wa...
serikali imeanza kupotosha ukweli na inasema watu wa Mtwara wanleta ubinafsi lakini point ni kwamba kwani vituo vikijengwa Mtwara ili kuendeleza kusini na mikoa mingine tukafirishiwa tu kama umeme tatizo liko wapi?
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
30/12/2012
CUF: MADAI YA WANANCHI WA MTWARA YANA MISINGI MIZURI YA KIUCHUMI YASIPUUZWE BALI YAFANYIWE KAZI.
Tarehe 27 Desemba maelfu ya wananchi wa Mtwara waliandamana kudai gesi ya Mnazi Bay itumiwe kuendeleza viwanda katika mkoa wa Mtwara kabla...
prof.lipumba yupo nchini ivory cost toka tarehe 16/10 kwa mwaliko wa rais wa nchi hiyo.
Lengo kuu la kuitwa kwake ni kupanga mkakati wa kiuchumi utakaoisaidia ivory cost kukua kiuchumi.
leo kulikuwa na press Conference CUF na haya ndiyo yaliyojiri
MAAZIMIO YA KIKAO CHA BARAZA KUU LA UONGOZI
LA TAIFA KILICHOFANYIKA SHABAN HAMIS MLOO
MJINI DAR ES SALAAM TAREHE 14-15 Julai, 2012.
Baraza Kuu la Uongozi Taifa la The Civic United Front (CUF- Chama Cha Wananchi) limekutana katika...
Hizi habari zimepikwa na watu wa chadema kwa kutumia gazeti lao la propaganda la tanzania daima.nilisikiza kwa makini hotuba ya prof.lipumba hakuna mahali aliposema cuf itaungana na chadema kuunda maandamano ya pamoja.huu ni uzushi.alichosema ni kwamba cuf itatakutana kujadili kuandaa maandamano...
Prof.Lipumba ameongea na waandish wa habari leo na kubainisaha haya"Kwa ushahidi wa wananchi, polisi walivamia duka la kijana mmoja anayeuza mafuta ya taa, dizeli na petrol, walianza kuchukua mafuta waziwazi na kumwagia maduka kadhaa kwa kuchagua. Walimwagia duka hili na kuacha lile ilimradi...
Mtatiro kumbuka ccm hawataki kuchekewa kwa staili hii ndo watajua kulipa hizo pesa kazeni buti mpaka watoe hizo pesa na niwajuavya watakuwa wameshazila wanahaha pakuzitoa.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.Waheshimiwa waaandishi wa habari ,naomba kutumia fursa hii kuwajuza japo kwa muhtasari yale yaliyojiri wilayani Tandahimba mpaka kufikia hali ya uvunjifu wa amani. Mnamo tarehe 11/04/2012, Chama cha CUF kiliandaa maandamano makubwa ya amani yaliyokuwa na lengo la...
Leo Prof.Lipumba ameongea na vyombo vya habari na kuelezea kuwa katika utafiti aliokuwa akiufanya imebainika uchumi shirikishi ndio njia pekee yakusaidia nchi zenye utajiri mwingi kama tanzania.Alitoa mfano ili kufafanua kwamba endapo kila mtanzania akifunguliwa akaunt na kupatiwa asilimia...
Endelea kuamini hivyo usijejikuta unakufa wewe chama kikabaki.CUF kufa si rahis kama unavyoota.Hayo ni mapito ya kisiasa ili chama kuwa imara.CHUMA ILI KIWE IMARA LAZIMA KIPITITIE KWENYE MOTO KIUNGUZWE NDO KIWE CHUMA.HAPA TULIPO TUPITA NA KUWA IMARA ZAID.TIME WILL TELL
KIPI CHA AJABU Wana CUF waliokuja na magari kutoka mkuranga,kilwa ,handeni,rufiji,kibaha na kwingineko kwa mapenzi yao na kukodi gari kwa pesa zao wenyewe ni 5% na 95% ya wote wliokuwepo ni wanachama wa CUF Dar.SASA DHAMBI IKO WAPI .CUF haina tabia ya kukodi watu inawatu wakutasha sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.