Kwann usinitibu nikiwa bado sijaukojoa? Si upo mwilini mwangu? Kwann usizuie baya lisinipate nikiwa bado sijaukojoa..kwann mpaka niogee au kunywa tena!!
Kuwa kweli au si tutathibitisha vipi angali mwenyewe ni marehemu....na kutoka na taarifa sasa itasaidia nini kama walitendewa na bado wakakaa kimya,? Watapata haki gani kwasasa
Sijui Kati yangu na wewe nani yupo serious ... Nilitaka tu kuelewa kiasi hicho kwa familia ya mtoa mada... Sasa ulipo ingiza yako nikaelewa kama nilivyo jb.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.