Huu niwakati wavitendo watz tumekua shamba labibi kwawageni lakini sasa mpaka wenyewe kwawenyewe tunanyonyana kama kupe tena live, how come mtu anapata mshahara wamtu wa mwezi kwasiku halafu anasema maisha magumu nasisis tusemeje? Politics now is a bizz na inalipa vibaya
Wewe kada unaposema ssm unamaanisha nini? Kwani taasisi inaundwa na miti si watu, sisiem nimaforoso matupu nandiyo imekufanya uwe namawazo duni, hiki chama kimedumaza mawazo na uchumi wetu tz ni nchi iliyotegeshwa kwenye utajiri lkn chaajabu 50yrs sasa bado tunasaga lumba, chamsingi nikuinyofoa...
Hizo gari ni outdated watu sasahivi tunataka huduma bora sio hiyo mitata, kunamchangiaji alitaja enzi za ikalus hizi gari zilikua standard enzi zile nauli dala, g/mboto-posta ni 20min tu ushafika hakuna foleni, sasahivi mautumbo matupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.