Wakuu nilikuwa naomba msaada wa mtu anayejua App ya kubadilisha link ya YouTube Au Instagram to normal video. Nilimepata baadhi Ila ni Android.
Asanteni
Wakuu nawasalimu!!
Nilikuwa naomba kama kuna mtu anajua pa kuweza kununua Battery Cages Za kuku wa mayai Na Bei zake!! Au kama kuna uwezekano nipate hata contact tu kazi ya kuwasiliana nitafanya mwenyewe
Natanguliza Shukurani
Ndugu zangu, Za leo, nilikuwa naomba kujua nahitaji kiasi gani kwa gharama Za Sasa nikiwa tayari na Banda langu la kufugia kuku 500 Wa Mayai!
Natanguliza shukurani
Wataalamu
Nilikuwa napenda kujua ni kampuni gani naweza kupata huduma ya Wi-fi nyumbani kwa gharama nafuu!! Na kwa matumizi ya mtu mmoja au wawili!! If possible niitumie ktk Smart Tv.
Asanteni
Wadau wa sheria, nilikuwa nauliza, kuna Mzee mmoja 80 yrs Old alikuwa anataka kuniuzia viwanja vyake viwili vilivyopimwa kabisa! Nilikuwa napenda kujua anaweza kuniuzia bila ya kuhusisha watoto wake? Watoto ni watu wazima late 50’s. Haitaweza kuniletea matatizo huko mbele!! Issue ni Umri wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.