Taarifa fupi ya mgonjwa anayehitaji damu kundi O- leo 28/10/2019. Huyu ni mkazi wa Mara aliyafanyiwa uhamisho kuja hospitali ya rufani (Bugando). Anasumbuliwa na figo pia anatakiwa kufanyiwa upasuaji ila kabla ya hapo anahitaji drip nne za damu (group O-)
Baada ya kutuma tangazo hilo sehemu...
Nina 28 nimebakiza 3yrs nistafu hii kazi nikajiajiri. Nishaanzisha miradi miwili inasimamiwa nani na nilowaajili ila inanipa zaidi ya mshaara wangu. Kwenye hili swala nimeheshimu mawazo yangu against all.
sijui ni kaka au ni dada ila unaongea pumba sana. nani kwakwambia cream za taifa zinakwenda udsm? haujui hizo ni products za selection za TCU? Maprof wa udsm wanafundisha how to present? na huyo anayesimamia hiyo presantation unauhakika gani kuwa ni prof??? kuna ma TA wengi na kidegree kimoja na...
Nilisha saidiwa nauli na teja /kibaka pale kituo cha darajani nyerere road, nikiwa chalii wa form 3, usiku wa saa 3 nilikosa usafiri na atanisaidia kinivusha hadi karume Kutafuta magari ya buguruni
Jana nilikua nafuatilia mubashara hafla ya kutimiza miaka 50 ya uanzishwaji wa benki ya NBC, ukweli natoa pongezi za dhati kwa kufikia umri huo wa mtu mzima. Ushauri wangu ni kuendelea kufanya mambo yenu kama mliouanzisha mfumo wa kibenki hapa Tanzania.
lililonigusa zaidi ni swala lenu la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.