Habari nimehamishwa KIKAZI kutoka mkoa wa singida kwenda mwanza , na ninauhitaj kuhama na vitu vyangu vyote kama meza ,vitanda ,sofa , TV ,friji NK ,
Naomba kujua Kwa wenyeji wa singida Mjini wapi naweza nikapata ma FUSO yatakayonibebea hivi vitu vyote Kwa pamoja kutoka hapo singida Hadi mwanza
Mkuu abdulwaa
Mkuu abdulwaahid naomba kujua gharama za tv +usafiri wa kutuma hizi tv mpaka singida (nione ipi nitaimudu)
1. TCL 55’ uhd 4k smart(android)
2. LG 55’ inch nano cell
3 LG smart 55’ ambayo si nanocell
TCL android TV inch 32 kwa laki 3 na 70 tu
(370,000)
Netflix,Bluetooth,google play store ,WiFi
Storage 4GB,
Location: Boko Bunju daresalaam
Simu : 0625875487
Ni tv mpya kabisa imetumika miez miwili tu ina Wifi,bluetooth ,Chromecast ,play store unaweza download app mbali mbali za Android kama whatsap instagram n.k
HDMI port ,USB , iko full boxed Na vifaa vyote muhimu
BEI MAELEWANO KIDOGO RUKSA
Mawasiliano ; 0620427098...
Tcl smart TV (Android) inch 32 Bei 420,000 tu ni mpya ina muda wa miez miwili tu iko full boxed contact 0620427098 Na 0744879704
Location ; boko bunju daresalaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.