Kila ninapo sikiliza nyimbo hizi huwa nabarikiwa sana kwani zimejaa Upako wa kweli ni nyimbo zilizo tulia hazina vikorombezo vyaku mtoa mtu kwenye uwepo kama tunavyoona miziki mingine mingi ya injili ambayo ni yaku burudisha tu. nimekua nikisikiliza nyimbo nyingi lakini hizi zinagusa na kubariki...
Mwanadamu inje ya Mungu hawezi kutumia uwezo wake kama Mungu alivyokusudia. Uwezo pekee wakumfanya mwanadamu atumie kile alichopewa unapatikana kwa YESU TU
What i came to realized is that even our Leaders are using Hemp. Doctors,Mps.Presidents, and so forth. but they dont want us to use it. that is stupidness. I am very angry with them.I am using hemp for good reason and it helps me.
TAARIFA YA JUKWAA LA WAHARIRI (TEF)
KWA VYOBO VYA HABARI
KUHUSU KUUAWA KWA MWANDISHI DAUDI MWANGOSI
UTANGULIZI:
1. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, mkoani Iringa, Daudi...
UPUUZI UPUUZI UPUUZI
hivi leo ndotunaona chadema wanafaa? kwanini basi hatukuwachagua? badala yake tukawarudisha mafisadi madarakani. mnajidai kuisifia chadema mkifika kwenye masanduku yakupigia kura mnaichagua CCM huo ni unafki na uzandiki. shame on you all
Habazi za kuaminika nilizo zipata nikwamba Musalia mudavad amekula mahela mengi ili awachanganye wakenya huyo jamaa anatumia na KIBAKI,UHURU,RUTO,lengo haswa nikuhakikisha kwamba Raila haingii ikulu.
Nilianza kugundua ubora wa ganja mda mrefu sana. lakini tatizo ni vijana wengi wanaitumia kwa matumizi mabaya lakini mimi ni Mtumishi wa Mungu "Pastor" sijaona ubaya wowote wa hiyo ganja ikiwa kama itatumia kwa namna Mungu aliyokusudia. nawaomba vijana Muache kuvuta ovyo kwani matumizi mabaya...
Kusoma bibilia sio tatizo kaka kwani shetani husoma tena huamini na kutetemeka. wokovu wa mwanadamu haupatikani kwa matendo mema. bali ni kwakumwamini Yesu nakuishi maisha ya wokovu. kupitia nguvu za Yesu mtu huzaliwa upya na kupewa uwezo unaomwezesha kuzishika Amri za Mungu mtu huwezeshwa...
Naomba unipe andiko linalo onyesha utabiri wa haile selase
nimewahi kuangalia mkanda wa Bob unaoitwa THE TIME WILL TELL. Kunasehemu bob anasema kwamba haile ni BWANA WA MABWANA NA MFALME WA WAFALME. Jina hilo linamstahili Yesu tu ambae ni mwana wa Mungu Yesu ni Mungu halisi alie fanyika mtu...
Jamani ndugu zangu mimi ni mtanzania ninaeishi nnje ya nchi ningependa mnisaidie je vitambulisho vya uraia vimeshaanza kutolewa. na je sisi tulio nnje ya bongo tutavipataje?
Huyu jamaa hakumuamini Mungu JEHOVAH
Alimwamini yule rais wazamani wa ethopia kama mungu wake hiyo muziki wake ni ibada inayoelekezwa kwa haile selasi
zamani nilikua shabiki mkubwa sana wa bob lakini nilipo mpokea Yesu nikagundua kwamba bob alikua ni muabudu miungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.