..hata maiti huwekwa kwa jeneza la mamilioni wakati udongo utamtafuna kama alozikwa na sanda ya buku ten..
..hizo ni preferences tu za duniani kulingana na uwezo wa mtu na hadhi (status)
..so kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake na kile anachoona kinamfurahisha whether directly or indirectly..
Wengine wana album nzima ya Ma-X...ukifwatilia utapata tabu sana
..mwanamke anaweza asichepuke na X vile vile na akaanzisha mahusiano mapya baada yako..
..muhimu timiza majukumu kama mume hayo mengine ni out of your control
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.