Afadhali yangu nimesema tatizo langu nipate ushauri ili nibadilike, I hope hayo kwenye bold ni reaction ya ID yangu. Pole inaelekea nimekuchafua jioni hii
Jamani kiungo cha manaume sio UBOHO, hakuna H! Unatamka zile OO mbili mwisho!Hee! Mbona ivyo. Usipoanza na U ukaanza na M katika kutaka icho kiungo cha mwanaume inakuwaje hapo?Michael naomba jibu basi.
Mh, kweli kua uyaone. Speaker kiswahili kinakushinda? Sijawahi ona, ivi humu MMU ina maana wewe tu ndo hujui maana ya uboho au umeamua tu kuanzisha mabishano? Kama vipi tuanzishe jukwaa la lugha ua kiswahili humu ili tuelimishane mana mashuleni hatukuipata ipasavyo.
Mkuu inaelekea unapenda sana iyo kitu kama mimi ee!Mbona umekazana sana na Kumar? Sijaona ubaya na ID yangu, hata shule nilifundishwa kuhusu UBOHO. Je, na SHAHAMU nalo ni tusi?Mana kama uboho unaona si neno jema basi na shahamu utasema ni tusi. Loh, ivi jamani mnanipa ushauri au! Mana...
Kwa kufanya ivyo wewe utakuwa mbwiga kabisa!Toka lini uboho ukauma?Uboho kwani unaonekana?Mbona nyie watu mnaongozwa na viungo vya uzazi? Yani kila usikiacho unakilinganisha na kiungo cha uzazi. Mmeacha kunishauri mmeanza kushambulia ID yangu. Mi ni mgeni jamani leo ndo siku yangu ya kwanza...
Scofield we ni mTZ au ndo we ndo yule wa ukweli wa Prison Break?Kama we ndo boyfriend wa Sarah basi sikulaumu Ila jifunzeni kuziua lugha zanu. Kama ID hii ni tusi basi tusubiri ifunhiwe
Tatizo lake jamaa anapenda mizaha mizaha sana. Alosema uboho tusi ni nani?Kama hujui UBOHO SI TUSI, KWA KIZUNGU NO BONE MARROW (hope umeelewa mana nyie lugha zenu mnaonaga matusi) lol
Habari zenu wanaume wenzangu.
Mwenzenu nina tatizo jamani, siwezi kuwa kwenye uhusiano na msichana kwa muda mrefu. Tatizo ni kuwa huwa nawachoka sana wasichana ninaokuwa nao. Sio kwamba ni wabaya au hawaniridhishi, no!Ila nakuwa bored sana nikishakuwa na msichana for months yani sitamani...
Nyie ndo wambea sasa!Mambo ya wanandoa we yanakuhusu nini? Ulijuaje juaje kuwa Irene haonesho upendo kwa jamaa yake? Mbona wewe yako hayasemi? Kama vipi lete hoja zaa msingi na uachane na mambo ya watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.