Bro I appreciate this kaka unatoa funzo kubwa sana kwa sisi wadogo zako..Mimi nimetoka Duce graduate wa 2016 lakini kutokana na tatizo la ajira nilikua kusaidiwa na braza mla ngada na vilevi vyote mpaka sasa Nina familia na watoto wawili..Ukikaa na baharia yeyote wanajua sana kutoa ramani za maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.