Ndugu zangu,
Kuna mtangazaji wa redio kule Arusha amenihoji mchana huu. Ametaka kujua tafsiri yangu kwa kilichotokea jana.
Nilimwambia, kuwa tafsiri moja kubwa ya kilichotokea ni kuwa Edward Lowassa sio kwamba yuko njiani kurudi CCM, bali ameshafika nyumbani alikotokea, CCM. Lowassa amerudi...
Ndugu zangu,
Nahofia tunachanganya na kushindwa kutofautisha kati ya dini, siasa na siasa za vyama.
Mengi ya kila siku maishani yana siasa ndani yake lakini si lazima yawe na siasa za vyama. Kiongozi wa kiimani anapaswa kuwa huru kuzungumzia kwa ujumla wake masuala ya kijamii kwa lengo la...
Ndugu zangu,
Tuna wajibu wa kizalendo kuzuia nchi yetu isigeuzwe kuwa Jamhuri ya Migomba.
Maana, ilivyo sasa, tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia baadhi ya tuliowapa dhamana za uongozi wakiwa na matarajio ya kuvuna utajiri wa haraka kwa kufanya biashara na uchumi wa nchi ili kujinufaisha...
Ndugu zangu,
Hata mwezi haujapita, niliweka hoja hii mezani kwenye ukurasa wangu wa FB. Kuna ambao walinielewa, lakini kuna ambao hawakunielewa mpaka kufikia kunijadili mtoa hoja badala ya hoja iliyokuwa mezani. Ni haki yao.
Upinzani katika hali ya sasa umesambaratika. Kuna kosa kubwa...
Ndugu zangu,
Kwenye kitabu chake; ' Dinner With Mugabe', Mwandishi Heidi Holland anauelezea mkutano wa mwaka 1979 kabla ya mkutano wa Lancaster wa mazungumzo ya Uhuru wa Zimbabwe, ni kati ya Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Uingereza, Lord Carrington na Robert Mugabe. ( Dinner With Mugabe, pg 129)...
-Haki Yako Ya Kurusha Mikono Inaishia Inapoanzia Pua Ya Mwenzako...
Ndugu zangu,
Inahusu haki. Hata mkiwa wawili chumbani, aayesinzia kwenye muda wa kulala ana haki ya kutaka utulivu.
Kama mwenzako kalala, wewe mwenye hamu ya kusikiliza muziki kwa sauti unapaswa kiungwana ukasikilizie nje ya...
Zimbabwe Nyuma Ya Pazia:
Kwanini General Chiwenga Anacheka Na Mfungwa Wake?
Ndugu zangu,
Picha hiyo imeishangaza dunia. Kwamba Rais aliyepinduliwa na kuwekwa kwenye kizuizi cha nyumbani ' House Arrest', anatembelewa na kiongozi wa mapinduzi. Wanakaa kuongea, kunywa chai pamoja na kucheka...
Wengine tunaposema tu Wajamaa na zaidi Social Democrat inahusu itikadi yenye kuangalia maslahi ya wengi. Hata kama Kuna masheikh wamethibitishwa kula nyama ya nguruwe, Waislamu hawawezi ama kuhalilisha nguruwe au kuukana Uislamu. Hivyo, itikadi ya mtu ni imani ya mtu kwenye itikadi, na...
Ndugu zangu,
Jana na leo kwenye gazeti la Mtanzania kuna habari kumhusu Dr Slaa na anavyoishi akiwa ughaibuni.
Inasemwa, kuwa kuna wenye kumshangaa Dr Slaa kufanya kazi ikiwamo ya kwenye duka kubwa huko aliko.
Dr Slaa kupitia majibu yake kwa mwanahabari wa gazeti hilo ameweza kuweka wazi...
Ndugu zangu,
Msingi wake hasa ni wajinga ndio waliwao. Ukweli kuwa binadamu anayeendekeza kucheza kamari anakuwa mgonjwa wa kamari. Ni maradhi. Anayecheza asaidiwe kujua hilo.
Na kamari kimataifa ni halali lakini haipaswi kuhamasishwa kuchezwa hata kupitia media , tena kwenye muda ambao watoto...
Ndugu zangu,
Nchi Ya Kusadikika haijawahi kukumbwa na ukame wa maajabu.
Wasadikika wamepokea taarifa kuwa, huko nyuma Mawaziri wenye dhamana ya Maliasili na Utalii kimsingi ndio waliokuwa na maamuzi ya nani apewe kitalu cha kuwinda na nani asipewe.
Hilo lilifanyika baada ya Waziri mwenye...
Ndugu yangu Babuu,
Kama ningelikuwa naandika ili niwe DC basi leo ningekuwa nakaribia kustaafu. Mimi hata ningeteuliwa U-DC leo ningemshukuru aliyeniteua na kumwomba ampe nafasi yangu mtu mwingine. Kazi ninazofanya ni zaidi ya wigo wa Mkuu wa Wilaya, na nitapenda niendelee nazo.
Maggid.
Ndugu zangu,
Niliandika makala mara ile Rais John Pombe Magufuli alipotimiza Mwaka Mmoja akiwa madarakani.
Itakumbukwa, mwaka jana, na kwenye siku yake ya kuzaliwa, Rais wa Awamu ya Tano, Dr John Pombe Magufuli aliacha kula keki yake ya kusheherekea siku yake hiyo na kuamua kuwa kazini...
Ndugu zangu,
Niwe mkweli kwa Nchi yangu niliyozaliwa. Jambo hilo pichani ni la kushangaza. Sidhani kuwa hiyo ni kazi ya DC.
Tunadhani si jukumu la DC kutumia muda wake kushuhulika na masuala yenye kunufaisha mtu mmoja mmoja na kwa kupitia kamari za kubeti na kadhalika.
Media yetu siku hizi...
Ndugu zangu,
Sababu alizotaja Nyalandu zote zinajadilika na haziwezi kuwa za msingi kuhama chama wakati Nyalandu mwenyewe kwa miaka 20 yuko Bungeni kwa tiketi ya CCM, yawezekana kabisa CCM ilipoteza dira Nyalandu akiwa Waziri. Alibaki huko kwa vile alikuwa Mbunge na Waziri na hata fursa ya...
Ndugu yangu, The Businessman,
sifa moja ya ukweli ni pale unapowekwa mezani kwa mara ya kwanza; Hukataliwa. Na hufika siku hujitokeza, na uhalali wake huanzia tangu siku ile ulipokataliwa. Nimesema ukweli wangu, nikiamini ni ukweli wa kihistoria.
Ndugu zangu,
Nimekumbushia hilo mara nyingi, kwamba historia ni Mwalimu Mzuri. Hata kama wengine mlikuwa hamjazaliwa, lakini, hakuna marufuku ya kusoma historia.
Tunapochambua haya yanayotokea sasa wengine wetu tunaitazama historia.
Ni ukweli wa kihistoria, kuwa CCM ni zaidi ya Chama, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.