Wakuu kwema,
Siku tatu zilizopita mwili wangu ulikuwa umechoka sana Basi nikaamua kwenda kupima ila nilipoenda majibu yakasema sina malaria, ila jana hali iliendelea kuwa tete nikaendelea kubanwa na kifua ambapo uchovu ulinizidi na masikio kuto kusikia vizuri, nilipoona kwenye ishu ya kutosikia...
Hoja gani tena kwanini muondoe bima za watoto au nhif kazi yake ni nin zaidi ya kuwahudumia waTZ acheni propaganda NHIF kwasasa inatumika kisiasa hamna weledi wowote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.