Sisi wakazi wa kijijii cha kichangani kata ya maweni mkoa wa tanga jumamosi iliyopita ya tarehe 3/3 tulifanya maamuzi magumu ya kumuondoa mwenyekiti wa kijiji kwakuvunnja kanuni za uongozi mbele ya wanakijiji wote na waandishi wa habari baadhi yao walikuwepo lakini kwa masikitiko makubwa...
Sisi wakazi wa kijiji cha kichangani kata ya maweni wilaya Tanga mkoa Wa Tanga jumamosi hii tarehe 3/3/2012 saa 9 alasiri kutakua na mkutano wa wanakijiji wote na tunatarajia kufanya maamuzi mazito kuhusu mwenyekiti wetu aliye poteza sifa ya uongozi kwa kushindwa kuitisha mikutano toka mwaka...
Tatizo sio chama ni mtu mmoja mbabe hata chadema wapo jibu hapa ni mamlaka za nidhamu kuingilia kati na kiitisha uchaguzi wa kujaza nafasi kama kanuni inavyosema
Ssi wakazi wa kijiji cha kichangani kata ya maweni wilaya ya Tanga mwenyekiti wa kijiji amepoteza sifa za uongozi kwa kushindwa kuitisha ya kawaida toka aingie madarakani mwaka 2009
Tunaomba wanaohusika watusaidie kuondoa kero hii kwani Afisa mtendaji wa kijiji na Mkurugenzi wa Halmashauri wako...
Ssii wakazi kijiji cha kichangani kata maweni wilaya Tanga mwenyekiti amepoteza sifa kwa kushindwa kiitisha mikutano kwa miaka 2 bila kuwa na sababu za msingi tusaidieni ilitupate maendeleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.