Dah mkuu 1megabit (Mb) = 0.125 Megabyte (MB)
Hivyo vifurushi vimepimwa kwa megabits, sasa bashindwa kujua kama umechanganya mafaili au umetupikia chai maana numbers never lie.
5Mbps = 750 kilobyte kwa sekunde, hapo ukishusha mzigo ni kama mb 40 kwa dakika ambayo ni GB 2.4 kwa saa, na hata...
Naona ni dereva ndiye anayefanya sauli ifike maana dereva mwengine unaweza kumpa hio basi akafika nalo usiku sana.
Anaeendesha gari hii inayowahi kufika hapa mbeya anaitwa Mwinuka, ni dereva ambae anaweza kusoma barabara kaikariri, anajua kutunza muda na ni mzoefu.
Hapa hakuna utofauti na mtu...
Tafiti mbali mbali zimeonyesha kwamba uyoga ndio kilevi salama kuliko vyote,
Kwa hapa Tanzania sijaona watumiaji na baada ya tafiti hizi nataka nihamie huku kwenye uyoga kuwa starehe yangu mpya
Je, kwa Tanzania hairusiwi au inaruhusiwa
Nadhani ni kuanzia mwaka jana serikali kupitia TAESA wamekuwa serious kuwatafutia vijana sehemu za kujitolea wakiwa kama interns.
Za chinichini ni kwamba hawa vijana hawawezi kuachwa ajira zikitoka katika mashirika wanayojitolea.
Achana na zile tambwe za utumishi kuwa na mamlaka pekee ya...
Kuna walioomba kujitolea kupitia Taesa" wanajitolea hapo tra, Taesa na utumishi ni kama kitu kimoja kwa hiyo nadhani hao interns ndio wamepewa kazi.
Nasihi sana vijana muombe kujitolea kupitia taesa
Tatizo ni upande wa settings maana leo hii ukitumia settings hizi unakuta baada ya mwezi mitandao ya simu wanastukia mchongo wanaziba tundu hivyo inabidi settings mpya tena zitafutwe.
Hapo zamani bwana Njunwa Wamavoko alitusaidia sana 2012 hadi 2016 wakiziba yeye anafungua kwa utaalam wake,
Cha kufanya ingia eBay.com, weka anwani ya sanduku lako la posta, tafuta kioo vinauzwa kwa takribani 120,000, lipa kwa M-PESA master card, baada ya wiki 2 kitafika posta.
Acha kuongea upuuzi mkuu, ni huyuhuyi Obama aliesema kwamba trump anaweza kiurudisha uchumi kwa uchawi pekee na magic wand, Leo hii trump kapambana uchumi umekuwa mass fake media zimeanza kueneza huu uongo.
Kwa nataka haraka na wewe nimeona umetekwa akili na fake news
Linapokuja suala la self education, yaani elimu binafsi ambayo huhitaji kufanya mitihani darasani au kuhudhuria darasani basi ni vyema ukathamini unachosoma kwa kununua vitabu na sio pdf.
Hizi pdf navyoona ziishie tu huku kwenye kukamilisha lengo la kupata cheti chako cha degree, nasters, CPA...
Mtu chuo kaenda kusomea taaluma ya kuwa muhasibu kuna haja ipi ya kuanza kusomea kozi za kifaransa, sijui basic english, dini, n.k hivi ni vitu vya kujifunzia sekondari ama mtu achukue kabisa kozi maalum, Haiingi akilini mkuu!!! Nimeshangazwa sana kuna kozi yao ya "Bachelor of Science in...
Dadeki, kozi ambayo inabidi iwe masomo matano huko ambako unasema hamna matatizo wanasoma masomo kumi, kwa ufupi kuna matatatizo, Kaka na dada zenu walilalamikaga sana hizi ishu ila sasa hao wachungaji sijui kama wataelewa, Yani hii ni kozi ya uhasibu ila cha kushangaza uzito wa somo la basic...
Nimeongea facts sijasingizia kitu ndio maana nimeiita "ukweli mchungu"
Kwa advance wako poa mkuu, shule kibao kama swilla na uwata na nyingine zinafanya vizuri, kuamka ni saa kumi na nusu na kuna mboko za kutosha, ubaya ni kwamba vyuoni huwezi tumia mbinu hizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.