Hii thread inakuwa haina manufaa kwa muuliza swali na hata watazamaji wengine hasa pale inapotokea contributers mnarushiana maneno makali na kuoneshana mabavu, hakuna haja ya kutambiana kwa namna hii kwa maana ni kama tunapoteza mwelekeo.
Kwa ufupi, inategemea unataka kujifunza kutengeneza...
Mkuu hii topic niliiona asubuhi ila nikashindwa kujibu kwa maana nilikuwa natumia simu ya mkononi, napata wakati mgumu kuandika maneno mengi kupitia simu. Nitajaribu kujibu maswali yako kwa lugha itakayoeleweka vizuri kwa kila mtu kwa manufaa ya wote.
1.Websites zenye poor code na hard to...
I think its about time na mimi nichangie kwenye hiii topic. Mtoa maada nakushauri uendelee kujifunza hizo code za HTML na CSS that is the right way usitake mambo marahisi na shortcut hata kidogo.
Avoid kutumia code generation tools,hizi tools zinazokuambia zinasimplify na kugenerate codes zina...
Hii debate kali sana ila ni vizuri kuona watanzania wakibishana passionately kuhusu teknolojia inaonesha maendeleo kwenye mambo ya IT.
WordPress vs drupal vs Expression engine
Kwa manufaa ya jamii wapi inafaa kufanya hand coding? wapi inafaa kutumia CMS name wapi inafaa kutumia Frameworks?
Android inapiga kazi kwenye x86 na x64 processors hii nimeshafanya mara nyingi, kwa sasa nina jelly bean kwenye flash drive though haiko stable sana lakini ni kitu inayowezekana...kuhusu kuweka windows 8 kwenye android tablet hapo sijawahi jaribu
Thread imepata responses nzuri sana to some extent naweza sema the part inayofanya authentication na authorization ya users as well as management of their sessions ndio one of the most complicated part ya web based systems though wengi huwa tuna-overlook umuhimu wake ingekuwa vizuri kama...
Ukitaka kujua kama ni original ingia kwenye dial pad(sehemu ya kupigia simu) andika hii code *#0*# itakuletea LCD test screen,fake huwa hazikubali
Vile vile unaweza fuata link hii m.samsung.com/us/support/service/tracking ina service ya kutrack your mobile phone kama sio genuine product...
Una ujuzi gani katika kutengeneza websites) ? hii kitu ni combination ya languages zisizo chini ya 3 (PHP,Javascript,XML,HTML) na database unaweza kutumia mysql,oracle e.t.c... Kama unazifahamu hizo language zilizotajwa hapo juu unaweza kutengeneza your own chatroom tena kiurahisi sana (kama ni...
Kwa ujuzi wangu mdogo katika mambo ya web development CMS ni nzuri lakini kama profession yako ni web developer au web designer kujua kutumia CMS peke yake haitoshi, lazima ujue server side scripting languages kama PHP,ASP.NET n.k vile vile ujue client side scripting languages na markup...
Hii kitu ni simple kama walivyosema hapo juu tables zako zinaweza zikawa kama hivi CATEGORIES-category_ID,category_name na FILES-file_ID,file_name,file_category,file_name
Kwenye PHP script yako inabidi uwe creative just piga some simple SQL inner joins and you are good to go kila category...
hapo umenena mkuu hii ishu ya kuweka kwenye cloud bado sioni use yake sana kwa bongo,
Bundle zenyewe bei zipo juu on average 10,000/= Tshs. kwa wiki kwa majority ya providers kuvuka 5GB ni kama ndoto sasa nihamishie terra byte ya movies na games kuziangalia si itakuwa kwa kuvizia, kwa sasa...
tumia hii Mp3tag, ilinisaidia nilipokuwa nakutana na tatizo kama lako, ukiweka tags na album artwork inafanya kazi itafanya kazi kwenye device yoyote. Follow link hapo chini
Mp3tag - Download
Mkuu angalia vizuri jina la OS niliyotaja ni S40 6th Edition Lite, hii ni kama downgraded version ya S40 6th Edition, hii nimepata kwenye nokia developer website ndio wameelezea vizuri kwenye link hii Series 40: Editions and Feature Packs - Nokia Developer Wiki na devices zinazotumia ni kama...
Inawezekana ni youtube wamefanya some few changes kwenye settings zao ambayo hiyo application ya youtube downloader ndio ilikuwa ina exploit/inatumia upenyo kukuwezesha kudownload hizo videos.
Kwa Operating Systems kama windows kwenye PC au android kwenye mobile devices kuna community kubwa ya...
Kwa uzoefu wangu Application inayo-download youtube videos bila usumbufu ni YoutubeDownloader by picoBrothers kwa upande wa nokia
Nokia Store: Download YouTube Downloader and many other games, wallpaper, ringtones and mobile apps on your Nokia phone
kama una pc jaribu kufuata link hapo juu uone...
Keys zake zinasumbua sana huwezi ukamaliza siku bila kukamatwa na wenye chao kama wewe ni mtumiaji wa internet mzuri,
PHOTOSHOP CS6
Unaweza ukatumia patch inayo disable hiyo mechanism ya authentication ya software kama umeinunua or not fuata hii link wamelezea step by step:
Adobe Photoshop CS6...
Hii nokia C01-01 ni ngumu sana kupata application software yenye uwezo wa kudownload youtube videos kutokana na Operating System [Series 40 6th edition Lite] inayotumia ninaweza kukupa suggestion utembelee website kama WapKing - Free Ringtones, Free Videos, Free Games, Free Wallpapers, Free...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.