Naomba mnisaidie, nina shoga angu ameniomba nmshauri nami cnabudi kulileta kwenu.Rafiki yangu ana boyfriend wake kwa muda mrefu sana,bt kwa sasa hawaelewan kwa kua huyo shemeji yangu amekuta sms ya mwanaume mwingine ambae anamfuatilia kwenye cmu ya rafiki yangu.tatizo n kwmb huyo shemeji yangu...
Tatizo la Watanzania hasa wale wasio waislam sio wapigania haki ndio maana hata uhuru wamepigania waislam wakadanganywa kapigania NYERERE waislam wanadai haki zao na kumbuka kwamba IF YOU WANT PEACE PREPARE FOR WAR and JUDGE THE BOOK TROUGH IT`S COVER. IS THE WEAR WHO KNOWNS WHERE THE SHOES...
Hapana wanajf tcwe na jazba, huo mfumo dume n kutokana na jamii kujenga kua mwanaume ndo kila ktu kuanzia ngazi ya familiar mpaka kitaifa na hyo n kutokana na culture ambayo inasababisha wanawake kuzidi kunyanyasika,hv unajckiaje mwanamke akiendelea kunyanyasika wakati ndo rafiki zetu wa karibu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.