Hata mimi sikua na hela sema sikua na majukum hivyo kipato changu chote kulikua kinawaza maendeleo ya familia...yeye alikua anapata sema majukum ya kwao nimengi
Ndio lkn kwasasa simshauri mtu afanye hivyo
2016 nilikutana na jamaa alikua anajitolea ofc flan analipwa tu kidogo mi nilikua na pharmacy yangu kubwa tu naishi
Nilikua nimepanga kiappartment kidogo yeye alikua chumba 1, kitanda fut 3 anakaa chini
Nikawa nae akipata hela namshaur nunua hiki hii...
Iko hivi nimekua katika ugomvi wa mda mrefu na mwenzangu( mume) bila kupata suruhu
Maumivu ni makali hasa dharau ndani mtu kuwa na wanawake hadharan Wala hajali hata ukilia unaoneka unampigia kelele tu. Nimeamua kurudi nyumban kwanza kupumzika.
Ninawiki sasa nataka nirudi kwangu ila nikapange...
Kisa cha kumuita binadam mwenzio mbuzi ninini?
Kwamba ilikua ndani ya uwezo wangu kuzuia mauti yake? Au kabla hajanioa ningekataa sababu nilijua angepatwa na mauti!! mkiwa wazima mnapumua hapa dunian msijisahau sana hakuna aombae matatizo
Nadhan watu mmeenielewa vibaya,binafsi sijashindwa kumsomesha ila ebu vita picha j3 shule zinafunguliaa leo umebeba wadogo zako kwenda kuwafanyia shopping ya madaftal sijui viatu alafu wanakuja navyo nyumban wanajalibishia mbele ya mtoto, ebu fikilia mtoto anajisikiaje je iyo picha ni nzuri?
Sasa ni bora angekuwa wazi tu kabla atujaanza kuishi mapema sababu alinikuta naishi nae na akachagua kuishi na mimi wakati anajua na mtoto mnakosea aisee
Naiman kwa uwezo wa Mungu mko wazima
Kuna kitu kinaniumiza moyo sijui nipo Sawa au naakosea naomben tu mnisahihishe kama
Iko hv niliolewa nikiwa na mtoto mmoja ambae baba ake ni marehem sasa kwa mume wangu huyu wa sasa pia ninamtoto 1
Mtoto alikua anaishi nyumban kutoka afya ya mama sio nzuri...
Binafsi
Binafsi ujauzito wangu ulikua changamoto sababu niltakiwa nikafanyiwe op hosp kubwa mi napoishi Kuna dispensary tu, hata clinic nilikua naenda bugando na niliandikiwa kabisa ikifika wk ya 38 nirud kwa ajir ya Op na nyumban ni huko mi napoishi nje kudogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.