Natamani huyu mama angekuwa waziri. Kiukweli mtu anayesimamia haki tena mchapakazi anastahili kuheshimiwa na kupewa support kubwa ili tupige hatua za maendeleo. Wanaoshindana naye wataaibika!
Kwa habari ya ndoa, usidanganyike hakuna cha mmachame wala kabila fulani; mzungu wala mwafrika. changamoto kwa mume na mke kuishi pamoja ziko pale pale.
Ukweli ukisimamiwa sote tutakuwa huru na salama.Pongezi nyingi kwako Mh.Lema kwa kusimamia ukweli. Kamwe tusiruhusu siasa chafu kuleta maafa. Kumbukeni vita vya dayosisi huko Meru vilisababishwa na siasa na waliuana ni ndugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.