Oh I like where this is heading. You are the one who is bigoted, as evidence can be seen through your answers to all our comments. Its just that is exactly where you are headed, to get ass whooped by your "girlfriend" like your fellow countrymen!
Kaka mkubwa cyo kulogwa, hvyo vi2 humtokea kila m2. Kumpenda mkeo ni kuchagua kuwa comited kwake na kumuheshimu kwenye nyakati kama hizi ambazo feelings ziko kwa mwingine(actualy, that is the true meaning of love)
So you couldn't get yourself to write something this short?
By the way I hear you kenyans get beaten a lot by your wives, could this "liking attention" thing be by any chance the reason?
Kaka asikudanganye mtu! cyo kwamba akikufanyia hivyo hakupendi- yani mda mkishazoeana anaweza tu akafanya(trust me on this). Jifunze basi kwa hizo ndoa zinazovunjika kila kukicha...au zingine watu wanaishi tu pamoja ila mioyo yao si pamoja tena.
Kweli nazidi kuona ukweli wa hili neno-'watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa!' .Inawezekana kabisa mkaanzisha uhusiano wenye future NA inawezekana ukajutia sana hatua uliyochukua. so probability ni 50/50. question: are you ready to put your life on gambling table?..... Kuna dr mmoja...
Nazikubali sana semi hizi. 'He who lives by the sword shall die by the sword'-'what goes arround comes arround'. Nachotahadharisha ni kwamba, Hakuna raha yoyote kufichaficha vitu vya hii dunia. Weka mambo on ze tebo tuende sawa
Wengi watakujibu hakuna tatizo(kweli kwa juujuu hakuna tatizo- Na tena pia mkiwa a lot good psychologically hakuna tatizo pia). Ila katika mabonde na milima ya maisha, those differences will be paying u guys a visit every now and then. Swali ni kwamba una uwezo wa kuvumilia pale mwenzio...
Hahahahahah!! du! kumbee! ndo maana nawaona full kunenepa kisha akitolewa out hali! ukimuona wakati anakula mihogo yake na azam kola mfotoe kama huyo dada mwenye kiroba apo juu....
Big up ma boy! u nailed em!
Analysis:
Kuna mawili (a)umueleze, (b)usimueleze. BEST CASE SCENARIO: (a)Ukimweleza-atakuelewa, mtayaongea ww, mkewe, yy na wapatanishi yataisha. (b) Usipomweleza-watakununia yy na family yake, watakutenga bila kukushtaki kwa watanzania wengine-u'll loose a friend, u'll get another1,maisha...
Hahahahahah! Yani hapa mtoa sredi ametupa jiwe gizani kwa kubahatisha halafu jiwe likafanya kweli na kugonga watu kibao. Watu wana hasiraaa!(My statistics shows kinadada waliochangia hapa wote ndo vile tena-dont blame me, m just a humble statistician).
Ila jamani for the sake of fidelity, Ukiwa...
Kwa kweli its not fair. Love is giving willingly and receiving what is given without forcing.
UTAFITI UNAONESHA: watu wanaokaa na watu ambao hawawapendi huku wao wakipendwa hufanya hivyo kwa sababu kuna kitu/vitu wanavyopokea ambavyo wao wanavihitaji kwenye maisha. Hii humuumiza anayetoa coz...
Kupima HIV has nothing to do with her feelings, ni formality ambayo wote tunatakiwa kuipitia(kama tunajipenda inatubidi tuzijue afya zetu). Kisha mkipima ikitokea mmojawapo anao, mtapanga ni vipi mwenzie atalindwa asiambukizwe na watoto watakao zaliwa(if there will be any) walindwe pia. Huu ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.