Magufuli anataka kuzika kaburini suala la Bashite, Clouds na Nape. Anatafuta story ya kuzima moto huu unaowaka kwa kasi. Nadhani angekuwa kimya kwanza asome mahesabu ya kina Nape. Amekurupuka na itakula kwake.
Anashauriwa vibaya - washauri wake wanamwambia kwamba yeye anaogopwa na kwamba...
Hivi Makonda hawezi kufanya jambo likafanikiwa?
1. Kafoji vyeti kagundulika
2. Kabadili jina kagundulika
3. Degree kapatiwa na marehemu Sitta - baada ya kufeli kila mwaka - Imegundulika
4. Hajaweza kumpa mimba mkewe mpenzi - Imegundulika!
5. Kasingizia watu madawa kagundulika
6. Kasingizia...
Hivi kwa tuhuma alizo nazo Makonda, Ushahidi unapaswa kuweje kwa mfano???
Ni nini kinachoweza kusemwa kikubalike kuwa ushahidi wa kweli au wa uongo?
Ni nani anayeweza kusema ili ikubalike kuwa ni kweli?
Paschal, Huwezi kuwa na vipimo tofauti vya kupimia uadilifu au Kweli ............... Kama...
Hapo nyuma hapa Tanzania watu wengi walikuwa wanasema:
a) Tunahitaji raisi amabe ni kama mwanajeshi
b) Raisi ambae ana maamuzi magumu
c) Tunahitaji raisi jasiri
d) Tunahitaji raisi asiye Dhaifu
e) Tunahitaji raisi anaebana matumizi
Pamoja na maombi na all these wishes, Tumepata ambae ni yooote...
Mayala unajivunjia heshima sana (Kwa waliokuheshimu)
1.Hili suala ni Dhahiri mno - halina utata wowote na limeeleweka kwamba:
1. Ama Mtiririko wa Kielimu wa Makonda unachanganya
2. Mtiririko wa Upataji wa Vyeti vyake Unachanganya
3. Mchanganyiko huu unaonekana kwenye majina anayotuhumiwa kuwahi...
Kama ilivyokuwa kwa Riziwan Kikwete kutajwa na hivyo hivyo wengine wanatajwa???? Yaani Mbowe anatajwa sababu Chadema walimtaja Riziwan ?????
Gwajima ametuhumiwa sababu ya ushenga wake kwa ndoa ya Lowassa na CDM??????
Huuu ni Ubarazuli wa kiwango cha juuu sana
[COLOR="#FF0000"]
Hivi MM mapenzi yako kwa magufuli na CCM ni TABIA YAKE NZURI???
Au chuki yako kwa LOWASSA NI TABIA YAKE MBAYA????
Yaani uzuri au Ubaya wa Rais unaupima kwa kigezo cha tabia peke yake??
Vipi kuhusu vision, endurance and consistency??
Huoni kama unafanya character assassination...
Hii hoja ya Udalali ni kati ya hoja mbovu na muflisi kabisa kuwahi kutumika kutetea uhalali wa nani ahusike katika kuwekeza katika miradi ya Taifa.
1. Katika dunia ya utandawazi na soko huria, ni vibaya na sio haki kuwa na watu wachache wanaotumia hisia zao kuwa ndio sera ya serikali kuruhusu...
Uchambuzi mzuri sana, wenye uliozingatia misingi ya utafiti na tafakari huru.
Tatizo:
1. ''wasomi'' wetu hapa JF bongo zao zimechoka, zimeshazoea kusoma ujinga - unapowapa jambo linalohitaji kuzisumbua bongo zao hawajiwezi
2. Jambo lililoandikwa ni somo zuri ila kuna watu wanaleta kebehi za...
Hawa ni wadokozi. Sidhani kama jina la wizi linawafaa. Hiki kitendo kinahusisha tabia mbaya zaidi. Wizi ni kitendo ambacho kinahusisha lengo na kutenda uovu unaolenga kupata faida.
Hawa ni watu wenye tabia mbaya ya udokozi hata yasiyofaa !!!!
Mark Mwandosya yuko Usalama wa Taifa miaka mingi - ninaamini kwamba alipaswa kujua kilichoendelea au anapaswa kujua kinachoendelea. Sijajua kwamba lengo lake ni nini, anataka kusemaje??
Anataka sisi tufanyeje??
Baada ya kusema hayo, anataka tufanye nini???
Kuna watu wanapenda kujipandisha chat kwa mgongo wa mageuzi yanayoendelea.
Yaani kila mtu atadai anamfahamu Dr Slaa, hata wengine wataanza kusema wao ni Wamasai wanatoka kwa Lowassa.
Yaani kuna wamasai wanadai wataacha kazi ya Ulinzi eti wakaombe kazi Ikulu!!!!!!!!!!!!!!!!
Duh!!!!
Yaani rais mzuri lazima awe mjomba wako??
Rais akiwa Dr Slaa mnasema mzee/babu
Rais akiwa Mbowe mnasema mchaga/DJ
Akiwa Lowassa ndio kabisaaaaaaa mnataka kutapika!!!
Sasa nyie wana CCM mbona mnakuwa kama misukule ????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.