Sijui ni chuo kipi hicho, ila sababu zinaweza kuwa ni nyingi, lakini kabla ya kulalamika mtandaoni, serikali ya wanafunzi hapo chuoni ilifuatilia kujua tatizo limesabashwa na nini?
Ndg, pole!, Ushauri wangu ni kwamba kama madai yako yana uhalisia, basi majibu yote unayo mwenyewe.
Kwanza unahisi matokeo yako ni halali au sio?. Kama ni halali jipange for supp, kama unahisi si halali, fuatilia zaidi (sometimes makosa hutokea).
Pili nafikir vyuoni huwa kuna washauri wa...
Barabarani kuna visa vingi mno ambayo driver yoyote yule ama kwa kuwa makini au kutokuwa makini hukutana navyo. Itoshe kusema kwamba vingi humuimarisha driver with time.
Habari wanajamii!, naomba kufahamishwa kwa wenye uelewa, wakati wa kutafuta ili kununua a steam iron, ni aina gani nzuri hapa bkngo na ni vitu gani vya kuzingatia kabla.
Sent using Jamii Forums mobile app
I guess unataka kuona mapuvu yetu tu hapa. Kweli ulikaa chini ukaona ni muafaka kuleta huo uzi wako hapo?, shame on you!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kupingana nawe, OUT inakufanya usome kuelewa mwenyewe wala si kutafuniwa. Na self discipline na proper time management ndio nguzo kuu. Kwa unayetaka kusoma MPM au course nyingine yoyote, karibu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jamii!, naomba msaada kujua wapi ni sehemu nzuri kufikia karatu (guest house) ambako ntaweza ku park na gari, bei isizidi 40k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kosa lina adhabu ndg, nilipo andika kila mtu ana changamoto, ni kwamba wakati mwingine kwa uzoefu unaona kabisa driver katenda kosa bila kukusudia (sababu zinaweza kuwa nyingi), hivyo elimu hufaa zaidi badala ya adhabu. NB, siwafundishi kazi. Ni ushauri tu.
Kwanza niwapongeze kwa kanzi yenu nzito na ngumu ya kuhakikisha watumiaji wa njia na barabara wanakuwa katika hali salama. Pamoja na pongezi hizo, niombe tu, kabla ya kutoa adhabu kwa mtumiaji wa barabara (mwenye chombo cha moto) kama ametenda kosa ama kwa kujua au kuto jua, busara itumike...
Habari wanajamii!,
Naomba ushauri nini nifanye kutatua tatizo kwenye gari (nissan x trail). Nilibadilisha crankshaft position sensor recently, ila baada ya hilo zoezi, check engine light ipo on always gari likiwa on. Nifanye nini kutatua tatizo?.
Jambo la kwanza kujua ni kwamba hakuna linaloshindikana chini ya jua. Ni dhamira yako tu ndio inaweza kukutoa huko. Huwezi kuacha ghafla, jiwekee mpango mkakati, slowly utafanikiwa. Usisukumwe kuacha, acha mwenyewe utafanikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.