Habari wana wa Forum,
Kwa upeo wangu fistula ni ugonjwa wa kutokwa na haja ndogo mara kwa mara na kwa kutokujijua kama unatokwa na haja ndogo na mara nyingi huwatokea mama zetu baada ya kujifungua. Sasa wana wa forum nahitaji kujua zaidi maana ya huo ugonjwa na dalili na cause zinazopelekea...
habari zenu wana jf,nahitaji kujua na kupata ushauri wenu kwani katika sehemu yangu ya siri(uume)imekuwa ikitokwa na vipere vidogodogo jaman sasa nashindwa hata kuelewa nini hasa tatizo ukizingatia hivyo vipere haviwashi wala kuivaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.