Kwanza jiulize kwanini panya wapo ndani mwako?
Nyumba ina matundu, hivyo wanatokea nje?
Nyumba ni chafu na haina mpangilio wanaishi na kujiificha humo ndani?
Ukipata jibu tafuta suluhisho la kudumu.
The chosen ones my foot.
Amwrica is already hijacked and kinapped, no one can save the world.
Any leaders who come to differ with these parasites and come with blah America patriotisim will never get chance!
Marekani hakushindwa Vita ya Vietnam aliamua kuondoa majeshi baada ya kuona inamtia gharama sana, na wanajeshi wengi wanakufa, ingemgharimu bajeti kibwa zaidi na wanajeshi wengine kufa.
Wananchi nyumbani USA wakapaza sauti, bunge likaamua liachane na hiyo vita wanajeshi warudi nyumbani!
Hatuwahitaji wabaki hukohuko, pamoja na kuwa wanabaguliwa wale black American huwajui walivyo dharau na ngebe!
Je unafikir pia huku ni salama, ni wangapi wameuliwa na Polisi hapa Tizii au sababu ni black ameua black mwenzake?
Pia hao black Americans wanauana sana wenyewe kwa wenyewe kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.