Ukikutana na mwanamke akakamata akili yako kisawasawa, Kwa kutumia mbinu za kiafrika, urudi huku utoe taarifa.
Itakuwa huwajui wanawake vizuri - you are too junior.
Ni matokeo ya vijana kuondoka mikononi mwa mazazi ukiwa bado hawajaiva vizuri, huwezi kukuta kijana aliyelelewa na kupewa maadili na usimamizi nzuri anatete upuuzi.
Vijana wa 2000 ndio shida zaidi, wengi wao wamezaliwa nje ya ndoa, wazazi wamevurugana au ni matokeo ya nyege wala si mipango ya...
Waliosoma 'between lines' wameelewa, labda mtu awe VII B.
Pole sana asee! Kila mtu ni mdhambi na yupo hatarini kuanguka zaidi kwa3kutolitii neno.
Sijui imani yako, ila nilitamani upate huduma ya kiroho kwa padre mmoja kiboko ya giza.
Kama itakupendeza, nitafute PM naweza kupa A, B, C za...
Njiro kwa madoni, wanaochelewa mjini wana usafiri bonafsi - hata hizo banaj alfajiri sana hazipo.
Acha iwe hivi hivi, mtu akiona barabara haitoshi akimbilie pori. Serikali ipambane na mambo yenye hadhi yake - sukari, umeme, ...
Ni uduwanzi wa kiwango cha daraja la kwanza!
Yaani mihudimie mimba, matibabu, Elimu, msingi wa maisha ili hali si damu yangu, je mimi nimeanzisha NGO's?
Mbaya zaidi mizimu ya kwao ikilianzisha, nalazimika nitoe gharama ili 'malaya' mama yake ampeleke mzinzi mwenzake.
Hata mwanamke hayupo tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.