Naomba wanajf mnisaidie juu ya haya. 1. je mgonjwa anayetibiwa kwenye hospitali za wilaya mfano ngara akipewa referal aende bugando ni lazima aende na nurse? 2. naomba kujua kwa kutumia land cruiser, kutoka biharamlo saa 2 asbh kwenda mza mjini unafika saa ngapi na je unaweza kugeuza na kufika...
Asante sana ndugu kwa shule yako nzuri. Kwa hyo una maana kuwa kwa mwezi unaofuata hataingia tarehe 08 kama mwezi huu bali ataanza kati ya tar 05 na 06?
Asante kwa majibu mazuri sana, yeye ni siku 28, lakn naomba kujua je kama ameanza tar 08 tunahesabu tarehe 08 kuwa siku ya kwanza au tunachukua mtindo wa masaa 24 kwamba kama ni tar 08 saa 2asb basi siku ya kwanza inahesabika kukamilika ifikapo tar 09 saa 2 asbh au tar 09 ni siku ya pili?
Asante kwa kuweka ukweli unaoujua. Lakn naomba nikuulize, vp lakini, unakubaliana na mm kuwa hawaolewi na walioolewa hawadumu kwenye ndoa zao? Naomba experience yako.
Naomba wadau tujadili haya mambo mawili juu ya madada/mama zetu wa kada ya unesi. 1. Ni kwa nini familia nyingi sana ambazo mama ni nesi walishatengana na waume zao? (kutokana na uchunguzi mdogo kwa familia ninazozifahamu na hata taarifa kutoka kwa watu wa karibu na familia kama hizo) 2. Kwa...
Asanteni sana wapendwa. Naomba kuuliza kidogo, kati ya KY JELLY NA OLIVE OIL yapi bora zaidi kwa suala langu? Na je hayo mazuri yanapatikana wapi kwenye maduka ya vipodozi au maduka ya madawa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.