Naombeni msaada maana mara nyingi nnapokua nafanya sex na mwanamke nifikapo mwisho namwaga shahawa nyingi sana ambazo zinanifanya nisipate hamu ya kurudia tendo tena ndani ya muda mfupi. Nashindwa kujua nini chanzo cha tatizo hili na tiba yake ni nini. Imekua kero pia kwa partner wangu maana...
Wakuu tumekwisha.
Umaskini wa Wa Watanzania kwa asilimia kubwa unasababishwa na CCM na serikali yao. Hakika tusikubali kudanganywa na akina mwigulu na wenzao maana wao si wenzetu, wangekua wenzetu wasingetuhubiria amani na upendo wakati wanajua ujinga tunaofanyiwa.
CCM ikapumzike. Nanyi...
hiyo ni kweli mkuu lakini wanafanya hivi kwa manufaa ya nani? Mbunge kama huyu Bungeni atafanya nini, atahoji mkata ulioandikwa kwa lugha ya kisheria? au atabaki ndioooooooooooo kila kinachosemwa? hata hiyo akili ya kupambanua chuya na mchele atakuwa nayo? Ifike wakati katiba mama ibainishe...
kuna wengine wanasababu ambazo labda madaktari wanaweza wakathibitisha, kwani kuna mdada mmoja ni family friend nami anadai kuwa kujifungua kwa operation kuna faida mbili mhm kwake!
1:mtoto atakuwa brighter si kama aliyezaliwa kwa njia ya kawaida (bila operation)
2:Ile makitu itabaki tight hivo...
ww kwa akili yako KUPANGA NA KUJENGA YA KWAKO NI KIPI GHALI? Ndo maana ww ni wakala wa Magamba, wote akili zenu zina matatizo. Kwani umeambiwa Chama kitakufa kesho? Inabidi uwe mweu ndo ukisapoti chama cha magamba kwani kilichowafanyia waTZ na kinachoendelea kuwafanyia ni udhalimu mtupu. ni...
Mpe Hongera sana ila kama mtu wa Mungu na anayetakiwa kuwaongoza watu watende haki awaambie hao anaowapigia debe waachane na Green Guard badala ya kufuatilia Chadema. Viongozi wa dini inabidi wakemee vitendo viovu vinavyofanywa na serikali iliyopo madarakani ili haki itendeke na si kuvifuatilia...
waache wahangaike, hizo ni hela zetu walizoiba kupitia Richmonduli na symbion, pokeeni wanazirejesha kwa mtindo tofauti. Mwanza si Monduli kwamba wananchi watabadilika waende Magamba na wala si Bagamoyo, Mwanza ni kwa wajanja na si makanjanja! Ila tu wawe makini na wake zao kama Nchemba naye...
ingekuwa vema ukataja gharama ya hiyo misaada uliyoitaja. na Watanzania tunapenda mtuwekee wazi terms za hiyo mikataba mnayoingia kwa niaba ya Watanzania ili nasi tujue cons na prons zake. raslimali ni za watanzania mnaingia mikataba inakuwa ya siri hata kwa wenye raslimali! Mnajua mikataba...
ina maana mtu yeyote anapozaliwa nchini anakuwa raia wa nchi aliyozaliwa? anaweza kuwa amezaliwa nchini wakati wazazi wake walikuwa hawajapata uhalali wa kuishi humu au walikuwa wamekuja kutalii! nafikiri uende zaidi utwambie wazazi wake ni Watanzania na si kwamba alizaliwa Tanzania
Itakuwa zaidi ya laki tatu kwani kama unaonesha mpira wenye uwezo wa channel 3 kwa wakati mmoja au wanaita commercial package ni dolla 115 kwa mwezi. king'amzi na package zake ikiwemo ufundi ndani ya radius ya 10km ni kama Tshs 135,000. hivo kwa kuanza unahitaji takribani laki 400,000.
Mi naamini Sir H katoa mada yake kwa ufasaha na weredi mkuu. ni veme ww ndo utoe takwimu unazozifahamu kuliko kufanya uchaguzi kama hesabu za "direct proportion-eti kama Wabunge wa Chadema ni wachache hivo hata Rais hawezi kuwa Chadema" unataka kuwaaminisha wana JF kuwa Rais wako alipata kura...
tusidanganyane sana, jamaa kajitahidi sehemu moja muhimu-Kupunguza mfumuko wa bei. Mambo mengine ni dhahama kwa Taifa. Ubabe wake umeligharimu taifa. Madini na baadhi ya maliasili ni non-renewable, kabinafisisha kwa bei ya kifisadi yakiisha ataviambia nini vizazi vijavyo? Angalau bei ingekuwa...
Evidence kuhusu vifo ni siasa tupu, ww aliyekuambia alikufa kwa leukemia alikupa evidence? na kama alikupa evidence ulithibitisha uhalali na usahihi wake? Wanaofanya haya wanafanya wakijua evidence hazipatikani. Na katika hili ni evidence gani ulihitaji? Subiri Marehemu akifufuka atakupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.