Bado mgombea wa ACT Arusha mjini na kampen meneja wa chadema kanda za juu kusini waliopataga ajali akiwa na mgombea ubunge kama sijakosea ni wa songea huko.Mungu awape pumziko na mwanga wamilele awangazie
Huyu polepole kadiri siku zinakwenda anadhihirisha ninani yani hata akizungumziacho hakijui.Namshushia thamani kila leo.Huwezi nilazimisha itikadi zako ziwe ngango.sidhani kama nitakaa nikusikilize
Mlisha peleka gari service name kumwaga oil chafu.Haina kazi tena kwa upande wako ndiyo maana umeibadili na kuitupa mpita njia kapita kaiona na kuona inamfaa kaichukua yanini kuendelea kuimbuka na kuililia?Ina kazi gani tena kwa upande wako? Au nichuki na chinga aliyeichukua au ni wivu? Au ni...
Kwa mojibu wa katiba ya CCM raisi wa nchi ndiyo mwenyekiti wa CCM taifa.Tuumize kichwa kidogo je! Ikitokea mh Magofuli akaukosa uraisi mwenyekiti atabakia yuleyule au atakuwa magofuli?
Tatizo la maji kwa maeneo haya na mengine kwa jimbo la ubungo tatizo ni siasa/jimbo la upunzani au nini? Nizaidi ya miaka 2 sasa tunakaa mpaka miezi miwili bila ya maji.
Waziri husika ofisi zako zipo Ubongo unalifahamu hilo? Mh mbunge John Mnyika mbona huitishi maandamano kuelekea kwa waziri wa...
Nikweli kabisa mkuu. Majimbo yote ya CCM yapo juu umeme ,maji ,barabara ,shule na Hosp vyote safi endeleeni na CCM yenu na maendeleo yenu.Sisi tutabakia na mdororo wetu na CDM yetu
penye nia penyeza rupia.Wenyewe hamtaki kubadilika na hakuna dalili za mabadiliko.zilisha fanyika kampeni kubwa kuliko hata zilizowahi kutokea Arusha.tulisha waonyesha njia mkitaka badilika msipotaka tunasonga mbele.
Tunapoa ona/ au kuletwa mada zenye maslahi ya kitaifa tujaribua kutumia akili na sii makama. Kama huna lakuchangia acha sii lazima kuchangia. Punda haendi bila vibiko wamekubali kuboresha hii ni baada ya M4C OPD .serekali yetu sii yakufanya kazi yenyewe kwa mojibu wa katiba bali ni ya...
Nimeangalia kipindi cha mboni show siku ya leo jmos tar 18.1.14 hakika kilikuwa kizuri na nimekipenda wageni waaliku walijitahidi kuzungumzia mengi sana.Waalikwa ni George Masatu Dua Saidi na CBE big up mmenikumbushia enzi za uchezaji wenu mkiwa na akina
Mwameja, anko Tom, Athuman...
Samahani naomba kukusahisha japo kidogo hakuna kundi la Mbowe ndani ya CDM bali kuna kundi la Zitto kumekuwa na kundi la Zitto sababu anapingana na viongozi wake wa kitaifa na pili anapingana na katiba ya chama hilo kundi unaloliita la Mbowe sii kundi bali ni wanachama wa Cdm,hata leo hii...
Habari kubwa kuliko zote kwa mwaka 2013 ni kifo cha Mandela.sababu kiligusa takribani media zote duniani na mitandao tote ya kijamii. Vile vile nitukio lililo wakutanisha maraisi wengi waliopo madarakani na walio staafu, Pia wasani na watu maarufu . Kama unaweza kuwa msiba wa kwanza...
Angekuwa mtiifu na msikivi angelifika mbali sana na kuweka historia yake mpya .Ila kutokana na tamaa ,usaliti na kutokupenda kutawaliwa ataishia huku huku alipo.
Hayo masalia yatoke tuu tubakie na ngano.wewe ukisha ona hutufai au huwezi kuenenda na kasi yetu kaa pembeni.Tumepambana na vyama vingi,vilivyopo madarakani na dola pia na tukashinda sembuse ww mwenyekiti magamba usiye na cheo?kuupata uhuru au kutoa chama chama tawala madarakani sii lelema...
Kama walimkaribisha na kumpokea kwa mikono miwili Mwampamba basi na kwa Zito wafanye hivyo.Ni mwana siasa msomi ,na mzoefu na mwenye uwezo wa kushawishi.ila anapenda kuonekana ni maarufu zaidi kuliko chama chake pili anapenda zaidi kutawala kuliko kutawaliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.