ndio ndugu yangu unachosema ni kweli kabisa! waliuondoa tiddo kwa maslahi ya ccm eti ameusaidia upinzani kupata viti vingi, ccm hawakuwa na majibu ya maswali ya wananchi ndio maana walijitoa katika mchakato majimboni katika vipindi vyote vinavyorushwa tbc hiki ndio kilichokuwa kipindi bomba...
nadhani sugu amepambana sana juu ya yote yaliyotokea namkubali kwani nchi hii imekuwa ikionyesha udhaifu na kupelekea malumbano na migogoro kila mara. ila tunajua taifa letu ili liendelee inapaswa kuwe na migogoro, mazungumzo then mapatano. wito wangu kwa watanzania ni kuwa na moyo kama huu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.