best sikiliza, wote wanaokujibu majibu kama hayo sio kwamba wamefikiri sana bali hata wao hawajui. of course ukigoogle utakuta versions ambazo zimechanganywa sana na itakuwea kazi kufanya selection. tafuta Advanced learner's dictionary 6th ed. utaona mifumo miwili na hapo utakuwa umepata mwanzo...
hiyo ndio Tanzania na wanasheria vihiyo wasiokuwa na uchungu na nchi kama walivyo wadau wa ccm. zama zaja zmbapo tutaanza kuwahukumu waao kabla ya bwana zao. naapa mbele ya mumba nitakuwa shahidi wa hilo.
Kama kuna vitu JK ameshindwa kujigundua ni uteuzi wa mshika bendera wake SOPHIA. Hebu nisaidieni kama kuna hata chembe ya zuri alilowahi kulifanya katika maisha yake. manake kila siku yeye huhamasisha uchafu tu wa wanawake wafanye vurugu dhidi ya waume zao. na je, ameolewa? huyo mumewe...
Suala la waajiriwa kutopata ufadhiri ni kutaka kuendeleza lile wimbi la watoto wa wakulima wa kigoma kutosoma. mfano mimi hapa nmeanza kazi ya ualimu mwaka 2004. mshahara wa mkononi hadi sasa ni sh 200000/= nikajisomeshe chuo kiku, si vichekesho. wakati huo unakumbana na maafisa km Bitwye...
Kwanza niwape salamu wana jamii kwani nlikuwa nje ya dimba. lakini sasa navaa jezi. Mimi ni mwana harakati na mpigania haki hususa za wananchi wakawaida na watumishi wa kada ya chini km walimu. taarifa ya Dr. Mwakyembe haiko wazi kwa watu wa kawaida katumia "bone marrow". lakini hajathibitisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.