Akili za mwenzako ongezea na zako we kibonge cha pr, toka lini urais wa sautso nao ukawa utawala hadi useme mataba anatutawala, wakati kila siku tunamtuma chai, tunapokosoa na kueleza ukweli siyo kwamba tunahitaji maslahi binafsi kwani wengine hii ndio semester yetu ya mwisho hapa chuoni, but...
Inavyoelekea wewe huzijui haki zako, yaani msomi mzima unadhubutu kusema ''acha watunyonye, wakijisikia watatupa hela zetu'' hizo ni fikra mgando, na kwa taarifa yako tupo kwenye hatua za mwisho za kuuanzisha mgomo wenyewe na wewe na waoga wenzako msipogoma kwa hiari yenu kwa maslahi mapana ya...
Ni kweli na hakika ya kuwa wewe (KULUNALILA) ndiye MATABA mwenyewe, ni kweli na hakika kuwa hoja za wadau zimekugusa, ni kweli na hakika umejitaidi kujitetea japo kwa kujibu MASWALI MAZITO kwa HOJA NYEPESI, ni kweli na hakika aliyeshiba hamjui mwenye njaa ndio maana wewe kwa kuwa umeshashiba...
Acha uoga wa kufukuzwa wewe, uoga wenu ndio matatizo yenu, haki hupiaganiwa, right never come from the sky, huvyo vitisho vya kufukuzwa individually ni mbinu tu ya kuwatisha waoga kama wewe kwa kutumia divide and rule policy kama wakoloni. Mzee acha uoga
Matatizo makubwa ya SAUT, ni kwamba Rais huwa anachaguliwa na uongozi wa chuo na siyo wanafunzi, Kwani kamati nyingi za uchaguzi huundwa kwa lengo lengo la kupanga wagombea ambao uongozi wa chuo unawataka, na hata rais wa sasa Mataba na waziri mkuu wake wote hawapati mkopo so hawawezi kutetea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.