Kwa mtu mwenye akili timamu na anayefuatilia siasa za Tanzania kwa makini hatasita kusema ZZK alikuwa ni mchawi ndani ya CHADEMA viongozi wa juu wana mapungufu yao na Zitto ni sehemu ya huo uongozi, siku zote mwogope mtu wa karibu nawe hata kama ni mkeo anayetumia udhaifu wako kukuangamiza...
Mambo ya ajabu haya karume ni mwasisi wa Taifa gani? ana tofauti gani na mkuu wa mkoa katika nchi ya Tanzania? mbona hata wazanzibar hawamwiti baba wa Taifa kwa taarifa yako Karume hata Uganda hajulikani acha siasa za kijinga halafu Nyerere anaenziwa kwa misingi aliyoisimamia Karume unaweza...
Haya aliyoongea mheshimiwa Nkamia ni aibu kubwa kwake yeye na familia yake kumbe yote anayoongea ni kwa sababu ya njaa tumchukulie kama mjinga na tuachane naye kuendelea kujadili upumbavu wake ni kupoteza muda hata naibu spika kanichosha alivyomsifu badala ya kumponda
Cuf ni ya zanzibar na bara kidogo mtu mjinga asiyeelimika vizr kila mada atatumbukiza udini wake badala ya hoja kumbuka zanzibar na Tanganyika siyo dini ni nchi tena zisizo na dini na wala usituaminishe eti zanzibar ni nchi ya kiislamu someni ukuze ubongo wako kwani inaonyesha wewe ni --------...
Hivi misimamo ya CCM na Chadema kwenye mchakato wa katiba ni halali? siongelei usiriki ninachoongelea ni kampeni za kuwaelekeza wananchi nini cha kufanya na nini kinatakiwa kwa mtindo huu tutapata katiba mpya?
Ahsante kwa kuhamia CCM ni haki yako ila Maumbeya na chuki za kidini ulizotuletea nazilaani unataka utuambie umeenda CCM kwa sababu kikwete ni Muislamu wakati kikwete ni raisi wa Tanzania Acha upumbavu wewe ni mtu mzima tanzania nia ya WaTanzania siyo ya waislamu wala Wakristo au unataka...
Kwa muda mrefu katika nci yetu tumeshuhudia maeneo mapya ya kiutawala yakiundwa ikiwemo uundaji wa mikoa mipya, Wilaya mpya n.k. kwa lengo la kurahisisha uduma za kijamii (huduma kuwa karibu na wananchi). Pengine kwa kuwa mikoa mingi iliyoanzishwa Jiografia yake sikuwa naifahamu pengine ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.