Haya mabo ya hajabu sana , Dar Chafu, Ujenzi Holela pia matokeo mnashindwaje kuweka hewani wakati wasomi wote mpo hapa, nyenzo zote mnazo, hata kila halmashauri, Ilala, Temeke na Kinondoni warushe, kwanza wamesema wamesahihishwa kwa computer hivyo matokeo yapo digital, ni jambo la ICT dept ya...
Hivi mtoa hoja atuambie kama wazazi wake bado hai au bahati mbaya, pili kama mzazi wa watoto, idadi na umri wao, kwa hurka hii hatufai, hapa inaonyesha kwamba Ndugu KIBONDE IQ kubwa zaidi yake, kwa kuwa mada yake hapa tu haina mantiki yoyote kwa kuwatusi KINAMAMA
Msiba mkubwa wa taifa letu, hawa wameacha wajane na yatima, je formular gani inatumika katika serikari kutoa rambirambi maana tumeshuhudia mamilioni yakitolewa kama rambirambi rasmi, utaratibu ni ipi mpaka sasa
Mie nafikiria sasa ipitishwe sheria ingawa "mama hana muda huo" Wachina wanaweza kabisa kutengeneza suruali za boya (Vacuum) ili kila abiria apewe anaponunua tiketi apewe na aingie kaiva, inawezekana, maana kusafiri majini sasa inakuwa kama unaenda vitani lazima uwe equiped
Hello habari, toa specifications ya Kampuni yako ina deal na shughuli gani? kama una corporate colours na vision yako. email jkalundi@gmail.com Am graphic Designer
WEE acha hizo na elimu ya kupandikizwa, "unakaa ndani ya mduara balaa", ulizaliwa bogasi, sasa walimu ndio wamekufikisha hapo ulipo leo unabofya, unafikiria kufunga vidonda ndio professional tu, ni sehemu ndogo tu kati ya mambo mengi ya kufanya hapa duniani, HAY BASI aliye gundua mobile phone...
We acha tu, nani mwenye akiri ya kufikiria kuweka Bima kwa bweni nji hii, Train yenyewe ambayo risk % ni kubwa na watu wakufa na fidia ya laki 500,000 baba wa watoto, alafu hao hao wanatoa over 10 mil kwa individual, kama si uchakachuaji katika documents wanatumia formular gani, mwenye nayo...
Habari Wakuu
Am Freelancer Graphics Designer Mkali wa kutosha katika Illustrator, Photoshop & indesign-ADOBE CS anza na Magazine pagelayout, banners, posters, promotional adv au taja mwenyewe UTAPENDA TU!
my free hand computer artwork
0714119988 au 0758111123
Heloo Vipi mbona unakuwa si mkweli na nafsi yako, kifo ni sawa na kuzaliwa, tatizo ni jinsi kifo kinavyokupata, natural death inashida gani? na alipoweka "like" pengine anashukuru kwa taalifa ambayo ni muhimu au akiweka "Unlike" si hatakuwa anamaanisha hataki hata hiyo taarifa tu? fikiria...
HayaJamani wan JF mambo yanakuwa hivi? maneno makali, je ungekuwa wewe mbunge ungecheza, ungegoma, ungepinga au ungekuwa wapi wakati mechi inaanza na ulikuwa umepangwa baki namba 5
Nyumba Inauzwa ulongoni via Kinyerezi
Nyumba Inauzwa
ipo: Ulongoni - Kinyerezi,
Sifa: Master bed room,three family rooms, Kitchen,tap water, Tanesco wired, Direct access to main road, store and public toilet, sitting room and dinning room. wide parking and wall fence foundation,Gymsum...
Freelancer Graphics Designer online in"Page Layout, Publishing, Illustrations & Adverts" na mzuri katika
Adobe photoshop, Adobe illustrator ,Adobe indesign na Coral Draw, na uzoefu wa miaka ya kutosha, Wenye mahitaji hayo tuungane mkono.
Please contact:
jkalundi@yahoo.com
0714119988 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.