Wakuu Naomba msaada wa kujua Maana ya hii Taa ndogo ya kushoto inawaka red katika dashboard chini ya kisahani Cha rpm.
Nimeigundua leo ina blink red nikiwa ndani na hata nikifunga mlango na ku lock Gari.
Sijajua ni shida gani imetokea sababu haikuwahi kutokea na sijafanya kitu tofauti katika...
Hi to all. Me ni mwanaume 30 years of age, mrefu kiasi, Rangi mnaita Maji ya kunde au mweupe kiasi, naishi dar currently, nimeajiriwa in small private company. The problem ninayo naona ni very introvert yani naweza kukutajia washkaji hawazidi watano. Hali hii imenifanya kuwa na shida pia ya kuwa...
Siku sio nyingi zimepita nimeibiwa laptop na external hard disk. So mpaka sasa data zangu muhimu nyingi zimepotea.
Naomba kufahamu kama kuna njia ya kutrack hii laptop ingawa sikumbuki IP address.
Msaada wenu wakuu ili niweze kupata data zangu
Katika radio na tv programs kuna nyimbo mpya kila kukicha na pia kuna nyimbo zinazohit kila muda. Lakini kila mtu ana nyimbo anazozipenda katika kila wakati...
Ningependa tushirikishane nyimbo zinazobamba katika kichwa chako ndani ya muda huu. Means your best songs at this time bila kujali...
Nimekuwa nikijiuliza sana ni jambo gani kuu ambalo nikifanikiwa hapa duniani nitakuwa nimepata forever relief na kuleta maana ya kuwepo hapa duniani. Mimi binafsi bado sijapata jibu, naomba wadau tupeane maoni na ni kwa sababu zipi ukahisi jambo hilo ndio lenyewe. Hii nimefikiria sana sababu...
Wakuu ningependa kujua zaidi juu ya tips and tricks za iPhone ili kuweza kutumia vizuri simu
Mfano. Unaweza kudownload app ya level then ukatumia simu yako Kama pimamaji (spirit level)
Au ukatumia simu kupiga mstari ulionyooka katika karatasi bila kuhitaji ruler
Nasubiri mchango....
Wakuu tupieni apps mnazoziona Bomba kwa android Na iOS tupate uwanja mpana wa kutumia simu zetu
Naanza
Android-googles (hii unapiga picha kitu then unakigoogle)
iPhone- sleep better (hii una track usingizi wako hadi asubuhi then inaanalyse)
Wakuu Nina galaxy pocket hapa tangu Jana inajizima na kujiwasha automatic Ina Kama miaka mitatu mkononi kwangu sijawahi kuexperience Hilo
Shida ni nin?
Msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.