1. kazi gani zinapaswa kutangazwa na zipi hazifai kutangazwa mkuu????
2. umachinga ni ugonjwa kusema ukifanya utakufa??? hao wengine wanaofanya wana nini??
3. ujasiriamali ukoje mkuu utujuze wengine tujifunze.
Nb: Najua jua lishawapiga sana mtaani kwa kuhangaika kutafuta kazi kwenye makampuni...
1. Kila jambo lenye mafanikio lina changamoto, hivyo ni muhimu kufahamu kwa mapana kitu unachokifanya, ukipende, utafute ujuzi, upate uzoefu kwa wengine wanaofanya au waliofanya. Nothing comes easy.
2. Kila mkopo unapaswa kurejeshwa ama kulipwa kwa wakati na kama ilivyokubaliwa. Mkopeshaji na...
1. sio kila mtu ana uelewa, utashi, akili, ustadi na juhudi sawa walizonazo wengine. Kila mtu ana mahitaji na matakwa yake, wakati wengine wana elimu na hawana kazi, wengine wanatamani elimu hiyo hiyo hata kama hawana kazi. Hivyo ni vyema kila msomi akaangalia anahitaji nini, anastahili nini na...
Tunahitaji vijana kwa ajili ya kuuza bidhaa zetu (vitabu) kwa kutembeza mtaani ( kwenye maofisi, mabaa, vyuoni, barabarani, njiani nk). Kwa wanahitaji , tafadhali wasiliana nasi kwa:
La VIVA BOOK PROJECT
P.O BOX 79119
Dar Es Salaam
Mob : 0657 10 12 14
Mshahara : Tsh...
Job Title: Accounts Clerk
Location: Dar Es Salaam
Position Type: Full Time
Summary:
The ideal candidate should have a pleasant telephone manner, professional appearance, and be able to work independently with little or no supervision. This person should be organized, flexible and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.